Psychedelic Drugs & Consciousness

Unakutana nao wapi? Stop lying and i think you are already under influence of those drugs. Ndo maana unawaona hao CEOs huko Silicon Valley ilhali upo tu somewhere umevuta umekaa. Yaani hapo unawaona marais mnavuta nao. Unamwona Telsa, unamwona Bill Gates n.k 😁
 
[emoji111]
 

Stupid as Stupid does, Sir !
 
Mkuu asante kwa ilimu dunia,wakija walokole watasema haya ni mafundisho ya kishaitwani,hawataki kujifunza maarifa zaidi nje ya walichokalilishwa.

Nje ya maada uko busega sehemu gani
 
Huu mmea unaitwaje mkuu
 
Moja ya
Comment BORA yenye KUTISHA kabisa
 
Daaah umeandika sana, ahsante. Naunga mkono tena na tena hata mim huwa najiuliza kuna baadhi ya vitu huandikwa tu kama simpo lakin ukitakuvijaribu aisee unaona huwez na hata hujui uanzie wapi. Mfano vitu kama somo la Aura, kutoka nje ya mwili na zile meditation za kukaa muda hata siku nzima ukiwa busy na akili yako, ila sasa kwa masomo kama haya mazan kuna siri nyuma ya ambayo ni lazima uijue kwanza ndipo haya mambo mengine yaendelee. Ahsante
 
Mkuu asante kwa ilimu dunia,wakija walokole watasema haya ni mafundisho ya kishaitwani,hawataki kujifunza maarifa zaidi nje ya walichokalilishwa.

Nje ya maada uko busega sehemu gani

Ha ha Mafundisho ya kishetani ni kwa sababu wengi wetu tayari akili zetu zilishafungwa kwenye sandwich.

Ni hatari kuwa karibu na mtu ambaye ana set limitations kwenye hii dunia
 
Nifanye nini kuondoa harufu ya bangi mdomoni baada ya kuvuta? Achana na big G Mk54

Nadhani mkuu kuna haja pia ya kuanza kujadili namna ya kuvuta bangi.

Shida ya Bangi ni moja. Inaacha Alama. Kwenye macho, mdomo na mikononi for those who smoke for RECREATIONAL. Kwa wale wanaovuta Bangi for other purpose nje ya recreational huwa hawapati hizi effects .

We will talk on how to properly smoke bila ya kuacha any strains .
 
Kwa kuwa imeonesha watu wamependa sana hizi mambo . Na mmea ambao unapatikana kwa urahisi kwa hapo TZ ni bangi ambao ndio Una psychoactive effects.

We will have to deeper discuss kuhusu huu mmea then we will move on other mind altering plants .
 
1. Binafsi sio mtumiaji wa hii mimea sana. Ninatumia pale tu my mind wants to do something critical.

Nawashauri vijana wenzangu kutumia hii mimea for good purpose . Mimea hii ni Baraka kutoka kwa Mungu, asikudanganye yoyote mtu.

They are divine plants. Imagine kungekuwa hakuna Opium ? Watu wa Kansa terminal Ill wangeishi vipi, Operation nyingi zingefanyika vipi , imagine that ?

Kuna mtu alishawahi kufunga Safari Na kutembelea Ocean Road , please do that utanielewa ninaposema these plants are divine.

Changamoto ipo kwenye akili ya Binadamu.

Only you need right knowledge and descipline to consume these plants


I am a chemist and Biologist , everything I write here is in my professional. We are not here kushawishi watu kutumia mimea, we always give precautions that we should not jump into these plants bila ya kuwa na specific knowledge; they have serious effect kwenye human personalities.

However, we will be moving slowly but sure as I have other responsibilities outside of Social Media .

I am impressed to see wabongo wenzangu are also aware about these mind altering drugs. Right know we need to expose the right knowledge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…