Psychedelic Drugs & Consciousness

Psychedelic Drugs & Consciousness

1 . Kikawaida Bangi ni Tiba .

Wazee wetu wanajua hili vyema. Wahindi wanajua hili vyema. Unaweza kutumia Bangi na usiwe HIGH.

Ile kitu watu wanavuta na kuwafanya High , yale ni maua ya bangi known as Cannabis Buds. Or the smokable part or Sugar flower.

Female Marijuana ndio inatoa maua mengi na mengi ndiyo yana THC nyingi, THC ni ile stuff inayokufanya uwe high.

Sehemu nyingi kama mizizi ya bangi, shina za bangi, majani ya Bangi na Mbegu zake hazina THC nyingi kabisa. Sehemu hizi za mmea huu, hutumika for medicinal purpose.

India , China, Wazee wa Kilimanjaro, Mara, Middle East, Tarime etc etc they know what I mean here.

Trust me , if you manage to take majani ya bangi from trusted sources na mizizi ya bangi and you make tea of it , yaani unachukua majani ya bangi especially male Cannabis ambapo THC ipo chini or almost hakuna kabisa na mizizi yake ukachemsha ukaweka sukari ukanywa kama chai ; believe me,

Hutokuja kujua what is diabetes, what is high blood pressure, , ischemic Cardiac na any kind of Cardiovascular Disease hutokuja kuisikia .

IMG_4979.jpg


Majani ya Bangi na Mizizi yake kama chai hapo juu. Hii wahindi wanaita Elixir of Pendant Eternity. The Medicine Of Death

You will die sababu ya age .. yaani your age is no longer supporting any life on earth.

Now days you may find kijana wa 35, tayari ana pressures, kisukari, erectile dysfunctional...., what the hell !

It is because we have buried these truths .
 
Now, what is the effect of edible Marijuana over smoking ?

This one I experienced by myself. Nilipovuta bangi for the first time under Guidance, within 20 mins , I noticed the change of consciousness from one state to another.

I was lucky, and thanks Lord for mysteries experience for the first time and interesting subconscious signs in my life. MY LIFE, only me and the universe.

But the psychoactive effect ili drop just within 2 hours ... nikarudi kwenye Ordinary Mind.

Well, I was asking myself, what will happen if I eat Canabis as food or drink.

Bahati nzuri nikapata Safari ya India Kikazi... Nilikaa India for 3 Months. India is very beautiful country and I learned lots.

I think India is a Centre of Consciousness in this world.

Kuna kinywaji chao kama chai kinaitwa Bhang. Wao wanatumia buds ( Female flowers) kukiandaa ambazo zina THC nyingi.

Nikaenda kupata hiyo chai, it was a little kwenye kikombe cha kahawa.

It took me 57 Min to get high. And I Had 6 hrs in that state , being high for atleast 6 hours! Woooow!


My gosh , it was extremely Transcendence beyond the doubt. Into that state, I managed to give myself, to dissolve my ego, and I forgave everyone , and prayed for everything; humans, trees, stones , tables , shoes, water , animals etc etc ... you know .. it is so hard for you to understand... but I prayed for everything, and became so humble and handsome.

I love India , the center Of Consciousness and self realization as well as Secret revealer in this world.

Okay, then I felt, hungry , extremely : and our Host ambaye ni Chemist and Biotechnologist, he took us to Restaurant.

you know , I said. Okay , what the https://jamii.app/JFUserGuide , nilichukua Menu , nikawa just ninaitizama as if i am reading a newspaper for 55 mins . You can’t imagine starring the Menu for 55Mins , [emoji23] LMFAO

I’m.... ,.....then food came , I starred on the food for 30 mins without eating....... I said , what the hell with my little stupid life on earth [emoji38].
————

Then I said , okay ... this is the effect ya kula bangi badala ya kuvuta.

The effect is . Ukila Bangi , unachukua muda to get high , lakini ukishakuwa high .... it takes longer to last depending on the metabolism za mwili, age and sex .also by eating, you get the best experience for spirituality and subconscious signs as well as hidden connotations.

Hii pia inategemea, unatumia part gani ya mmea.

Kama unatumia yale maua ( Smokable Part ) kuweka kwenye mboga, au chai, au cake , au supu... know you will get high.

In addition to that , the Bhang tea inatumika zaid for reaching out maximum spirituality Transcendence during meditation practice. They also use it for Ritual practice and Ceremonies to communicate with the dead and souls.

But kama unatumia Majani na mizizi kutengenezea chai au food recipe.... you will not get high ... utapata medicinal benefits tu pamoja na stimulant ya mwili . As in you will be very active and healthy..... ile General fatigue .... you won’t have that.
 
The Big Question is !

What is the right dose for smoking Cannabis? And what is the right dose for edibles Cannabis( for those who prefer for food) .

Well , I’m ............. this can be explained into two parts

1. Determining dose Traditionally
2. Determining dose Scientifically ( Pharmaceutical and Laboratory based)

———-

1. Traditionally
 
Nadhani mkuu kuna haja pia ya kuanza kujadili namna ya kuvuta bangi.

Shida ya Bangi ni moja. Inaacha Alama. Kwenye macho, mdomo na mikononi for those who smoke for RECREATIONAL. Kwa wale wanaovuta Bangi for other purpose nje ya recreational huwa hawapati hizi effects .

We will talk on how to properly smoke bila ya kuacha any strains .
I real need the lesson, Lakini mkuu nimekufata PM umeni zuwia kukuspy (motives mabaya). Mimi ninania ya dhati katika kutumia in good way.
 
Baada ya kuila nilienda kulala,baada ya dakika chache tu nikaona km kuna mwili mwingine upo pembeni yangu,nikadata,ukawa unaniambia kwann nimelala mapema wakati nikichek saa(physically)ni saa saba usiku.Nikaamka nikaenda sitting nikakaa ile hali ikatoweka,cha ajabu nimerud kulala ikarud tena,kumbuka sio km ninaota yaani najielewa kabisa kwamba nipo kwenye hali ile,nikaanza kujiongelesha kwamba I want my mind back yaani nilihisi nimedata kabisa,nilipata hiyo dhoruba mpaka saa kumi na moja ndo nikapata usingizi.
NB Aliyenipa hiyo kashata anasema aliichukua akaivundika ikawa kali ndo mana ilinipeleka vile,pia mi ni jr kwenye hata kuvuta tu,all in all ilikua balaa.
 
Baada ya kuila nilienda kulala,baada ya dakika chache tu nikaona km kuna mwili mwingine upo pembeni yangu,nikadata,ukawa unaniambia kwann nimelala mapema wakati nikichek saa(physically)ni saa saba usiku.Nikaamka nikaenda sitting nikakaa ile hali ikatoweka,cha ajabu nimerud kulala ikarud tena,kumbuka sio km ninaota yaani najielewa kabisa kwamba nipo kwenye hali ile,nikaanza kujiongelesha kwamba I want my mind back yaani nilihisi nimedata kabisa,nilipata hiyo dhoruba mpaka saa kumi na moja ndo nikapata usingizi.
NB Aliyenipa hiyo kashata anasema aliichukua akaivundika ikawa kali ndo mana ilinipeleka vile,pia mi ni jr kwenye hata kuvuta tu,all in all ilikua balaa.

Ulichokifanya usirudie tena.

1. Ni hatari sna. Ndiyo haya mambo tunazungumza watu kufanya mambo bila specific knowledge. Guys , don’t play with these stuff , they have serous effect kwenye human personalities.

Kama ungekuwa na elimu sahihi, unge enjoy .. tayari ulikuwa umeshaanza kupata spiritual connotations.... wow. Bravo aleik.

Well, I’m .........., you guys need to know one thing. Siku hizi hapo mbezi , masaki, Osterbay etc etc kuna bakery nyingi wanatengeneza cakes na mikate wanatumia recipes za cannabis flower ambazo zina THC kali. Hii ni hatari kama mtumiaji ni Begginer na hajafahamishwa.

3. Hii ni hatari kwababu unaweza haribu Akili ya Mtu . Bangi ya kula ina last long hivyo ni risk unaweza kupata psychosis out of knowing how and why.

Machizi Wengi pale MUHIMBILI na Mirembe ni marijuana induced psychosis. Ni Ukichaa uliotokana na Bangi out of knowledge.

I am not recommending that for as long as you do out knowledge. Najua zipo mpaka Chewing gum , pipi, chocolaté etc etc.

4. Kwa nchi za huku zinapatikana but kwa registered vendors , kama vile Pharmacy au Dispensary na unanunua kwa risit na dose yake inaonekana kwenye package. Yaani THC ipo kwa asilimia ngapi.

Ikiwa umekula na ikaleta shida, unajua pa kwenda and you have document to sue the registered vendor. The Vendors are Serious maana akifanya mchezo anakwenda jela. So they don’t play Hata kwa kuuza. Na ukienda kununua unaonesha residence permit au passport and they register you kwenye system. So it is a serious business, no joke .

Ifike pahala the government of TZ iruhu mmea kwa registered vendor na wapewe vibali maalumu na wapewe scientifique method za ku run hii ishu.

Tunaficha ficha mambo wakati watu wanaumia kweli kwa kukosa elimu na source Salama za kupata mmea salama.

Kwanza serikali inapoteza hela nyingi.

Bangi yote inalimwa TZ na kusafirishwa nje na nchi jirani kwa hela ya kutupa kabisa. Are we stupid or what.

Tatizo gvt inadhani Bangi ni kuvuta tu...... Bangi inamatumizi mengi zaid ya kuvuta.

Rwanda mpaka sasa Pharmacy 18 wameshapewa vibali vya kuuza, na wanakuwa monitored kama wana comply.

Raia zaidi ya 25 wamewezeshwa kulima mmea na wana export nje na bangi nyingine wananunulia TZ kwa magendo. It’s bad .

Bangi ni food , mimi nikipika supu ya kuku wa kienyeji ni lazima nichukue majani ya bangi na mizizi yake nachemshia supu and I eat with my family for healthy purpose.

Kwa uzembe wa kuficha ficha, matokeo yake watu wanaanza kuwekea bangi kwenye cake na kashata na hii ndio style kwa sasa hapo mjini. Na watu wanapenda na kurudi.

Sasa why don’t we educate them kwanza? Why don’t we register them ili wawe responsible Incase ya misconduct ?

Do we know how much THC wana put kwenye hizo kashata au Cake, matokeo yake tunaenda kuzalisha kizazi cha matahaira in next coming years

Knowledge makes man unfit to be slave.

Gvt of TZ , ifanye feasibility study kwanza kujua umuhimu , tuache upumbavu, watanzania wanaweza kuwa bilionea kwa resources zao wenyewe.
 
Msaada jamani, wapi nimekosea kwenye kujaribu kutumia canabis .
Kuna kazi nilikua naifanya nikahitaji booster ya mjani , ofcoz shauku hii imetokana na uzi huu
Nimevuta puff mbili, kama MK54 Alivyosuggest lakini sikupata matokeo .hata lile jani sikuhisi chochote wakati nalivuta .
Mazingira yalikua favourable , je nini inaweza kuwa sababu
Izo lips nzuri ndio zimevuta msuba? Daaah [emoji3]
 
Msaada jamani, wapi nimekosea kwenye kujaribu kutumia canabis .
Kuna kazi nilikua naifanya nikahitaji booster ya mjani , ofcoz shauku hii imetokana na uzi huu
Nimevuta puff mbili, kama MK54 Alivyosuggest lakini sikupata matokeo .hata lile jani sikuhisi chochote wakati nalivuta .
Mazingira yalikua favourable , je nini inaweza kuwa sababu

Hee We Kijana , Ushaanza kuni Quote, eti Kama MK54 alivyosuggest ........ oooops , come on .
we do not mention people’s name . Tunasema hivi ,
nimevuta Puff 2 kama ilivyoshauriwa na wataalamu.
Well ....I’m...., nimekuelewa.

1. Naomba ulete swali lako baada ya SAFE DOSE. Nikipata time ninaachia hiyo part leo au kesho.....

2. Tumesema chenye THC nyingi ni Cannabis Flowers , sio majani ya Bangi . Majani ya bangi ukivuta au ukila possibility ya kuwa high ni ndogo au hakuna... only utapata healthy benefits tu, sio psychoactive effects .

Kula majani ya bangi ni sawa na kula matembele. THC ni ndogo sana Kwenye majani, na ili upate effect , you will need lots of leaves like gunia to get effect.... is it practical ? NO !

3. Halafu that is not good guys, you read something hapa kisha unaenda kuvuta.... that is not good at all na ndio maana tunasita kutoa mambo mengi humu ... some people are not serious kabisa.

Ukienda kupata shida huku you will say nilisoma kwenye Uzi ? Please let’s stop the hell !

4. If you think hujaelewa.... check me PM.
Hatutaki kuifanya Hii THREAD kuwa ya kihuni. This thread has to be a living document .

Mimi najua madhara ya Bangi ndio maana i am bit harsh .... sorry for that.

Nimefanya kazi Mirembe na MUHIMBILI Psychiatre Department..... I know , 40% ya ukichaa pale ni Marijuana induced.

It is no joke when we say , you need to lower your fantasy , and get the knowledge first.

Thanks
 
IMG_5001.jpg

Cannabis Buds ( Smokable Part!

IMG_5003.jpg

Hii ndio Buds iliyokuwa Harvested and cured ready for the kick and kush .

This one unaweza kutengenezea chai [emoji477]️ yaani ukachemsha kama chai na ina taratibu zake. Au ukaweka kwenye keki and other foods.

Ukitumia hii kitu , you will get high . Kama ukinywa as tea , and if the the strength of THC ranges between 100mg to 200mg , my friend you will get a kick ambayo itadumu for at least 6 hours. Imagine getting high for 6 hours ,LMFAO [emoji38]. Unawezaa enda Dukani kwa mangi ukiwa na sabuni na ndoo ya maji ukidhani ni BAFU la kuogea ha ha !
But , huko India wanatumia chai kama hii for spiritual Connotations and mysterious of life. Especially pia Kwenye ritual ceremonies and soul communication to the divine nature.

It give you the hit that lasts. Ila Ukismoke the effect will be only 1 hrs or less .

Wanao enjoy hii kitu ni wale ambao wanatumia for malengo maalumu na sio RECREATIONAL.

Huu mmea ndio siri ya mapadri na wachungaji wengi wanaojifanya SMART na kumjua Mungu sana
 
Kuna hizi kashata za bangi nani amewah kukutana nazo?aisee lastweek nilikula moja usiku kilichonitokea,balaaa kabisa
Huyu jamaa yupo serious kipindi nasoma niliwahi letewa izo cookies 🍪 na jamaa yangu toka S. A sasa zilikuwa katika form ya kama hizi chocolate biscuits wanazouza madukani, nikala 1 cookie, unaambiwa nililala zaidi ya 6 hrs fofofoo sikuwahi lala usingizi wa namna hii. Sasa wakati nikiwa naona naanza kuwa niko higher ndio nikasema ngoja nikala lakini usingizi wake sikuwahi ku experience usingizi wa namna hiyo before mpaka nikajiuliza iyo cookies itakuwa hata ilikuwa na heroin ndani yake

Kwangu mimi ilikuwa afadhali, mwenzangu yeye baada ya mm kulala nliziweka izo cookies kwenye begi sasa wakat anatafuta notes zangu kwenye begi akakuta izo cookies akala yeye alilala kama masaa kama 10 bila hata kuamka, kuja mm kuamka namtafuta jamaa naambiwa kala cookies zako kuamka hawezi ikabidi tumlishe kama mgonjwa maana mda wa kula umepita. Kesho kuja kuamka hataki kusikia kitu kinaitwa cannabis cookies
 

Huu mmea ndio siri ya mapadri na wachungaji wengi wanaojifanya SMART na kumjua Mungu sana
Kuna hospitali moja ya kanisa (haya ,mahospitali ya mission) yani ukiingia tu ndani ya geti la hospitalini unakutana na San Pedro kubwa. Nikawa najiuliza huyu mtu aliyeupanda nahisi alikuwa ni mzungu alimaanisha nini kuupanda kwenye uso wa hospitali au mwanzoni unapoingia hospitali, na sii sehemu nyingine ambaye usingeonekana
 
Huyu jamaa yupo serious kipindi nasoma niliwahi letewa izo cookies [emoji514] na jamaa yangu toka S. A sasa zilikuwa katika form ya kama hizi chocolate biscuits wanazouza madukani, nikala 1 cookie, unaambiwa nililala zaidi ya 6 hrs fofofoo sikuwahi lala usingizi wa namna hii. Sasa wakati nikiwa naona naanza kuwa niko higher ndio nikasema ngoja nikala lakini usingizi wake sikuwahi ku experience usingizi wa namna hiyo before mpaka nikajiuliza iyo cookies itakuwa hata ilikuwa na heroin ndani yake

Kwangu mimi ilikuwa afadhali, mwenzangu yeye baada ya mm kulala nliziweka izo cookies kwenye begi sasa wakat anatafuta notes zangu kwenye begi akakuta izo cookies akala yeye alilala kama masaa kama 10 bila hata kuamka, kuja mm kuamka namtafuta jamaa naambiwa kala cookies zako kuamka hawezi ikabidi tumlishe kama mgonjwa maana mda wa kula umepita. Kesho kuja kuamka hataki kusikia kitu kinaitwa cannabis cookies

hii ndiyo Issue.

Problem is; Hizi cakes na bites Cannabis based kwa sasa Tanzania zipo nyingi sana na kuna Bakery zipo Kama 7 hivi kwa Tanzania [emoji1241]. Wanauza Bites Cannabis -based out of knowledge.

ukienda kama mteja hawakujui vyema na hawakusomi vizuri , watakupa Bites za kawaida. Ukienda kwa kujiamini au ukiwa recommanded na other customers , watakuuzia. So wanauza kwa siri Which makes it worse .

Kama wanauza kwa siri, how sure are we kuwa wanachoweka ni only THC ? and not other stuff.

What if they add other stuff that makes really high; and what if the added stuff that has an addiction to human minds ? What the hell with my country ?

We are not sure kama ni kweli Canabis based or kuna mavitu mengine yanaongezwa to stimulate psychoactive effects.

That is where it comes the Government of Tanzania needs to do something na kuona umuhimu wa kuregister maduka haya na kuwa guide mahali sahihi pa kupata THC maana wasije kuchanganya na Ma amphetamines, heroine etc etc.

Otherwise tutakuwa na generation ya mwendo wa kinyoga, na tutakuwa na members wengi kwenye Mental Institutions

Kazi ya Gvt ni to defend and protect the citizens at any cost .
——
However, we are piecing things altogether and we have tried to collect all the names of those bakeries wanaofanya huu mchezo, and this has to be taking into action.

The top management will be officially informed regarding the matter for further actioning.

Additionally , the Government of Tanzania is kindly advised to find out the best approach on how we can register farmers, Cannabis Shops , Recipes etc etc and release special permits for those who have Registration.

Pale DCEA, we have not put smart minds ( Drug Control and Enforcement Authority ).

Tunahitaji smart mind wanaoweza kuishauri Serikali mambo ya msingi yanayoendana na technology.

Rwanda ni kanchi kadogo May be ni kadogo zaidi ya mkoa wa Tabora , but they are so advanced technologically.

DCEA Kazi yako imekua ni waandishi wa Habari.... Tumekamata Dawa za kulenya tani hizi, tumechoma mimea ya bangi zenye ukubwa huu .... blah blah , they are working as a routine robot .

Does it mean they don’t see what is happening on the other side of the world. ?
 
Nadhani mkuu kuna haja pia ya kuanza kujadili namna ya kuvuta bangi.

Shida ya Bangi ni moja. Inaacha Alama. Kwenye macho, mdomo na mikononi for those who smoke for RECREATIONAL. Kwa wale wanaovuta Bangi for other purpose nje ya recreational huwa hawapati hizi effects .

We will talk on how to properly smoke bila ya kuacha any strains .
Thats gud idea man. Nasubiri nondo.
 
Sijui kitu kama ni kitu kweli , maana hata jani lake sijawahi kuliona zaidi ya kweenye vitambaa
Ila nimenunua kwa vijana ambao wanaaminika maana niwatumiaji wazuri
Kuhusu kuvuta sijavuta kama sigara, nimefuata maelekezo ya humu kuvuta na kutoa moshi mdomoni
Kupandisha mstari ndio kufanyaje?
Dah😂😂 hii nadharia kwa vitendo itakuja kupagawisha wqtu
 
Back
Top Bottom