kaka hizo drugs zina stimulate grandiose, ambayo actually ni mental illness. brain cells zikiwa hyperactivated na increased imbalance of neural chemicals... hapo utakuwa umetengeneza ukichaa wa msimu, kubali hizo drugs hazina faida sana za kuleta mabadiliko chanya kwa maisha yetu ya duniani, lakini ni dhahiri huleta matokeo kwa binadamu ambaye hana hulka na tabia za kiubinadamu.binadamu wa namna hii hana maamuzi sahihi ya kuifanya dunia iwe salama sababu ya mihemuko iliyoharibiwa
kuna mfano, Amphetamines ni drugs zilizogundulika zikitumiwa na waasi wa IS, Kuwapa ujasiri wa kufanya matendo ya kikatili..... hivyo unakuta sio wanadamu wa kawaida, wameharibiwa akili, na psychology, mission ngumu za kijeshi zenye dalili nyingi za kushindwa, wanajeshi wake hupewa hizi drugs kama sehemu ya mafunzo, ili kumtoa akili zenye ufahamu, na kuweza kufata amri tu,
kaka usipromote hizi drugs... tutapata binadamu wenye kizazi cha ukichaa, hivyo badala ya kuishi maisha ya furaha hii kidogo tuliyo nayo, basi tutavurugana sana, na twaweza tesana sisi kwa sisi binadamu..... # am a doctor too!