Psychedelic Drugs & Consciousness

Sijaelewa
 
Samahani wakuu kama ntakuwa nimetoka nje ya topic. Vipi kuhusu Coffee na yenyewe inao uwezo wa kusaidia ku calm mind kwenye meditation?
 
Bangi ipo kuguide/kutuamsha tujue kuna state of being ya jinsi hiyo then ukishaexperience kinachofata ni wewe kuingia kwenye same state of being bila kuivuta,kila unapojiskia.........hapo unakuwa umeelewa kazi ya huo mmea.

Ndo mana ukianza kuitegemea inakubadilishia kibao.
 
Duuuuuh kweli elimu haina mwisho. Kwahiyo maybe tuseme na hawa waganga wa minyaa kuku na kadharika wanatumia hii mimea kuagua?
 
 
Duuuuuh kweli elimu haina mwisho. Kwahiyo maybe tuseme na hawa waganga wa minyaa kuku na kadharika wanatumia hii mimea kuagua?
Kweli kabisa,ukidhani umezeeka kwamba umefika mwisho wa kujifunza unakutana na maarifa km wanayotoa kina mk54......then unaamini kweli kujifunza ni zoezi endelevu.
 
Hii elimu unayo nini?
 
Wakuu bado nipo. Nitarudi very soon na speed kubwa.

Tulikuwa bado tupo kwenye maombolezo ya mpendwa wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu JPM. Mungu wetu aliyetuletea mimea hii amtangulie huko alipo kwenye ulimwengu wa roho.

.Ukitumia hii mimea for good course, death is just a bridge kufikia consciousness nyingine.

Maisha ni zaidi ya comfort zone.

Tutaangalia namna wanavyotengeneza hizi hard drugs huko maabara kwa kukopi chemical formula za natural plants .... kwa kuweka amphétamines na starches kisha kuwauzia watu mtaani kama unga unaowapelekea watu kuwa Serious addiction na disassociation from reality ya maisha .... very baad yaani unakuwa worse creatures.

Tunaangalia pia namna wanavomix bangi na amphettamines kisha kuziuza mtaani.... unadevelop Serious addiction na kupata neuropathy na panic attack, anxiety and unknown fear ..... yaani unaweza kustuka tu hivi na ukaanza kuogopa for no reasons , stop buying weed from unknown source.... Weed haina addiction unless umeokota kwa wahuni na ume missuse..... pamoja na yote hupaswi kutumia for recreational. It has serious issue na personalities and humanities

Natural plants hazinaga Serious addiction unless unatumia bila muongozo au unatumia for recreational yaani for Pleasure.

Truth seekers wengi, including innovators and other great minds, they have once smoked these plants in their life time ...... only if you know how to use it.

Mtu kama Donalt Trump was told by his Pharmacist aache ku sniff the powder na badala yake awe anatumia vapeur, sniffing ilimletea Trump respiratory issue . .... ukimu observe trump wakati wa kuongea, anakuwa Kama anavuta pumzi kwa ndani kupitia pua every time every time.


Kazi iendelee
 
🤯
we missed you doctor.
 
Mk54 au yeyote anayejua kutumia hii mimea,mngejaribu kutumia hii miti then muingie kwenye ulimwengu wenye majibu ili tujue tunaondokaje kwenye corona mana ni kama we are stuck with it.
 
Magic Mushroom, Pscilocybin, nimeona mmea kama huu hapa dar, ngoja nikijaaliwa nitaweka pic yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…