Psychedelic Drugs & Consciousness

Psychedelic Drugs & Consciousness

Ujue kwenye movies hizi vitu vinaongelewa sana
Kuna movie moja nimesahau jina, majamaa walikua wakinywa dawa flani wanakua na akili sana, sema ilikua kwa siri sana ntagoogle iyo movie niwaletee jina
Plus "doctor strange' yule ancient one kila alichokua anaongea ni chakula ya ubongo maana ni kitu kipya
Hawa wazungu wanajua aya sana tofauti na sisi wengi wetu ndio tumejulia hapa kwenye uzi huu

Itabidi tuanze kuainisha Movies zenye hidden message. Wengi wetu tuna upofu mkubwa.

Magharibi wameamka sana.

Will Smith ni mtumiaji mzuri sana wa Psychedelic. He is an expert
 
Hapana ,usifanye hivyo maana hauwezijua breki zako zita shikia wapi.Inaweza kukupeleka kwenda next level tukakukosa.Kuna Watu walikuwa wakitumwa kuwasha Sigara leo ndio zime waua.Achana na hiyo mambo Mkuu.

Anahitaji kujifunza na Guidance. Shida ni pale akiwa hana Sababu ya kuvuta
 
Jamaa analikua anataka andika kitabu, amekwama na watu wanasubiria, jamaa yake ndio akampa akamwambia this might help, from there maisha ya mchizi yalibadrika kabisa, kuna sehemu alisema i was blind but now i can see yaaani iyo pill ni version na mada hii kabisaView attachment 1713134View attachment 1713135

Some of whites, they’re there to tell us the truth. Movie like Matrix, ziko na ujumbe mpana sana.
 
Njia pekee ya kuacha matumizi ya Bangi ni kuamua. Just decide.

Charity begins at Home. You need to decide kwanza.

Halafu Bangi haina shida kuacha au kupunguza thought unaweza kupata ile waanaita withdraw syndrome kwa kipindi kifupi tu.

Ingekuwa anatumia Hard drugs like Cocaine au Heroin ningesema hapo anahitaji msaada wa dhati . Maana hard drugs addiction yake ni kubwa sana na kama hawajakuwahi ndio Safari.
-
Kwa kuwa zile ni Devil in the chemical form, Mimi mwenyewe nilikuwa nalazimika kuwapa hao addicts Morphine Injection ambayo ni strongly controlled drug ili watulie na ukikutwa nayo na DCEA lazima ufanywe mfano
-
. Hii ilikuwa ni kinyume na taratibu za kazi but sometimes as a human nilikuwa nafeel their pain. Yaani akiwa « Arosto » mwili wake unakuwa na maumivu makali mnooo as if anachunwa ngozi.

He feels so much pain na viungo vyake vina kakamaaa ; the only way ili atulie ni apate Cocaine au Heroin. It is so painful to see the truth man . So ukimchoma Morphine Injection like one Vial, he will kiss your ass na atakuona wewe ndio Mungu wake.

My point , kuacha bangi ni sawa na kutoa unywele kwenye maziwa despite of some withdrawa syndrome ambazo zinavumilika na huisha permanently.

2. Read the below

Asante kwa Majibu mazuri na Ushauri unao eleweka Mkuu,ila mimi ni Mtu nnae fanya Mazoezi mchanganyiko na magumu daily hope wengi watakuwa wame jifunza jambo hapa.

Nyongeza ,hivi moshi wa Bangi hauwezi kuleta athari kwenye Mapafu au ktk mfumo mzima wa upumuaji wa Binadamu!?.
 
Itabidi tuanze kuainisha Movies zenye hidden message. Wengi wetu tuna upofu mkubwa.

Magharibi wameamka sana.

Will Smith ni mtumiaji mzuri sana wa Psychedelic. He is an expert
Kweli kabisa, na zipo nyingi sana sema hadi ujue unasikia nini au unao a nn ndio utajua kwa uhakika
 
Asante kwa Majibu mazuri na Ushauri unao eleweka Mkuu,ila mimi ni Mtu nnae fanya Mazoezi mchanganyiko na magumu daily hope wengi watakuwa wame jifunza jambo hapa.

Nyongeza ,hivi moshi wa Bangi hauwezi kuleta athari kwenye Mapafu au ktk mfumo mzima wa upumuaji wa Binadamu!?.

Moshi wa Bangi hauna madhara kwenye Mapafu. Unlike Cigarettes.

Madhara ya Bangi yapo kwenye Nerve Cells ambazo kazi yake ni ku transmit information.

Kwa mfano ukihisi kuna kitu kimekugusa, basi nerves zako upande wa sense zimefanya kazi. So ukiwa unatumia Bangi sana una experience neurological issues. Unaweza kuhisi kama part of your body inapata ganzi au sometimes ku feel kama vile unapigwa short ya umeme. numbing numbing unapata sana. Hizi side effect ni kwa wale wenye kutumia for RECREATIONAL.

Ili kuondoa hizi side effects, mlengwa anatakiwa kufanya SAUNA mara kwa mara ikiwa ni pamoja na kufanya Detox kama ilivyoainishwa hapo awali.

Aidha, ifahamike kila kitu ni Risk once unapotumia mara kwa mara.

Contraceptives kama P2 , hizi ni emergency pills for unprotected fore play: but wadada siku hizi wanazitumia sana kukwepa mimba ; kuna zile za siku 28, hutumika sana pia : zina wasaidia but wengi huachiwa kilema pia ; wimbi la kina dada kutoshika mimba au mimba kuharibika au kupata Saratani ya uzazi limekuwa kubwa...... that is the ugly side of anything ambayo unaitumia sana.

2. Sildenafil ( Viagra) ni kweli inatusaidia sana but the other side tunaijua. Inaenda ku create matatizo ya moyo probably hukuzaliwa nayo. Boom ! Heart failure ...... boom death

3. Energy Drinks ambazo watu wengi huzipenda tena wengine huchanganya na Paracetamol kwa show ya kibabe, madhara yake tunayajua. Ukisikia sudden death , heart failures ijue kitu kimeitika.

My point ni kwamba side effect ya kitu depends on the consumption dose and Frequency. Even sex is good for health; but ukiover dose expect the worse.
 
Moshi wa Bangi hauna madhara kwenye Mapafu. Unlike Cigarettes.

Madhara ya Bangi yapo kwenye Nerve Cells ambazo kazi yake ni ku transmit information.

Kwa mfano ukihisi kuna kitu kimekugusa, basi nerves zako upande wa sense zimefanya kazi. So ukiwa unatumia Bangi sana una experience neurological issues. Unaweza kuhisi kama part of your body inapata ganzi au sometimes ku feel kama vile unapigwa short ya umeme. numbing numbing unapata sana. Hizi side effect ni kwa wale wenye kutumia for RECREATIONAL.

Ili kuondoa hizi side effects, mlengwa anatakiwa kufanya SAUNA mara kwa mara ikiwa ni pamoja na kufanya Detox kama ilivyoainishwa hapo awali.

Aidha, ifahamike kila kitu ni Risk once unapotumia mara kwa mara.

Contraceptives kama P2 , hizi ni emergency pills for unprotected fore play: but wadada siku hizi wanazitumia sana kukwepa mimba ; kuna zile za siku 28, hutumika sana pia : zina wasaidia but wengi huachiwa kilema pia ; wimbi la kina dada kutoshika mimba au mimba kuharibika au kupata Saratani ya uzazi limekuwa kubwa...... that is the ugly side of anything ambayo unaitumia sana.

2. Sildenafil ( Viagra) ni kweli inatusaidia sana but the other side tunaijua. Inaenda ku create matatizo ya moyo probably hukuzaliwa nayo. Boom ! Heart failure ...... boom death

3. Energy Drinks ambazo watu wengi huzipenda tena wengine huchanganya na Paracetamol kwa show ya kibabe, madhara yake tunayajua. Ukisikia sudden death , heart failures ijue kitu kimeitika.

My point ni kwamba side effect ya kitu depends on the consumption dose and Frequency. Even sex is good for health; but ukiover dose expect the worse.

Ubarikiwe sana Mkuu ,nime elewa vyema sana na asante sana.
 
Brother na wewe ni hazina inayotembea.

Carl Sagan ( one of the most respected astrophysicist in America, Feynman wa space science ) ashawai andika article kuhusu bangi, sema kipindi chake na heshima aliokua nayo aliogopa kuifanya public akaamua kuitunza. Ila kwenye io article, aliisifia bangi mwanzo mwisho. Miaka ya hivi karibuni, wameikuta article yake wamebaki kua amazed na mistari kuhusu bangi.

Jitahidi uandike mkuu.

Sawa Sawa
 
Mkuu vp sex nayo inapunguza nguvu za kiroho?
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nilikisema kwa kifupi...Nikaambiwa niongeze Nyama (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

concepts 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako

Concepts:2 Sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...


Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??

Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concepts 3: Punyeto kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.


Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa niongeze Nyama (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

concepts 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako

Concepts:2 Sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...


Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??

Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concepts 3: Punyeto kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.


Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..
Upo sahihi mkuu. Shukrani kwa shule hii. Kipindi tunajifunza michezo ya kung fu, sex ilikuwa ikipigwa vita sana kwa madai ya kupunguza nguvu ya ndani pia likiambatana na suala la kutoa sperm pia lilipigwa vita sana.

Yote hayo yalikuwa yanapunguza ufanisi wa mwanafunzi katika mazoezi ya viungo na kujijenga kiroho (meditation).
 
Upo sahihi mkuu. Shukrani kwa shule hii. Kipindi tunajifunza michezo ya kung fu, sex ilikuwa ikipigwa vita sana kwa madai ya kupunguza nguvu ya ndani pia likiambatana na suala la kutoa sperm pia lilipigwa vita sana. Yote hayo yalikuwa yanapunguza ufanisi wa mwanafunzi katika mazoezi ya viungo na kujijenga kiroho (meditation).
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom