Pubic hair nyeupe

Pubic hair nyeupe

Kwani mtu akizeeka na maeneo ya ustawi wa jamii yanakua na mvi??
 
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua hili. Je, kuwa na ‘v*uzi’ jeupe (unywele mmoja pekee) sehemu za Siri kuna maana gani? Au ni kawaida tuu? Yaani msitu wote uwe unaota mwezi isipokuwa mti mmoja tuu kila wakati ndo mweupe.

Tena age ya mhusika ni ndogo tuu kwenye miaka 30.
Ukimgusa huyo ujue ndiyo umekwenda na ma water.
 
Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua hili. Je, kuwa na ‘v*uzi’ jeupe (unywele mmoja pekee) sehemu za Siri kuna maana gani? Au ni kawaida tuu? Yaani msitu wote uwe unaota mwezi isipokuwa mti mmoja tuu kila wakati ndo mweupe.

Tena age ya mhusika ni ndogo tuu kwenye miaka 30.
Anavaa nguo zinazobana sana mapajani lakini kuoga kwake ni kesi .
 
Back
Top Bottom