Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mimi. Watu wa imani watasaidiaJaman ndio uanzishe uzi
unyofoe tupa huko
hautaota tena
Siyo umri wa mvi. Na hana mvi kichwani. Je, mvi ianzie chini?
[emoji23][emoji23][emoji23] ukizeeka hazioti unakua kama mtotoKwani mtu akizeeka na maeneo ya ustawi wa jamii yanakua na mvi??
Kumbe ndiyo maana vijana humu wanalilia mashangazi kumbe ni mwendo wa vipara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukizeeka hazioti unakua kama mtoto
Haina madhara yeyote we endelea na maisha yako kijana, wapo wengine kamvi kamoja kanaota kidevuni, wengine kichwani nk. Acha wogaSiyo umri wa mvi. Na hana mvi kichwani. Je, mvi ianzie chini?
Ukimgusa huyo ujue ndiyo umekwenda na ma water.Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua hili. Je, kuwa na ‘v*uzi’ jeupe (unywele mmoja pekee) sehemu za Siri kuna maana gani? Au ni kawaida tuu? Yaani msitu wote uwe unaota mwezi isipokuwa mti mmoja tuu kila wakati ndo mweupe.
Tena age ya mhusika ni ndogo tuu kwenye miaka 30.
Anavaa nguo zinazobana sana mapajani lakini kuoga kwake ni kesi .Wajuzi wa mambo naomba mnisaidie kujua hili. Je, kuwa na ‘v*uzi’ jeupe (unywele mmoja pekee) sehemu za Siri kuna maana gani? Au ni kawaida tuu? Yaani msitu wote uwe unaota mwezi isipokuwa mti mmoja tuu kila wakati ndo mweupe.
Tena age ya mhusika ni ndogo tuu kwenye miaka 30.