Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lijivuzi la kizungu au la kimakonde unaloliongelea?Natumaini wadau wa JF mnafaidi mapimziko ya weekend bila stress!
Twende kwa mada!
Ni hivi, baada ya kuangalia clip ya video fulani ya XXX nikaanza kusoma comment za wadau ambazo nashindwa kukubaliana nazo 💯/💯!
Kikubwa ninachotofautiana na wadau wengi ni kuyachukulia mavuzi (pubic hair) kama uchafu! .... NEHI! NO! HAPANA! YAYA! mavuzi kama mavuzi sio uchafu, bali ni CHACHANDU, ... kinachomata ni usafi na utunzaji wa muhusika! Mimi binafsi huwa sipendi mtu anayenyoa vuzi loote mpaka anakuwa kama kuku aliyenyonyolewa! 😅
MAONI YENU MUHIMU WADAU!
Usikute la kwapa nalo analifuga..
Natumaini wadau wa JF mnafaidi mapimziko ya weekend bila stress!
Twende kwa mada!
Ni hivi, baada ya kuangalia clip ya video fulani ya XXX nikaanza kusoma comment za wadau ambazo nashindwa kukubaliana nazo [emoji817]/[emoji817]!
Kikubwa ninachotofautiana na wadau wengi ni kuyachukulia mavuzi (pubic hair) kama uchafu! .... NEHI! NO! HAPANA! YAYA! mavuzi kama mavuzi sio uchafu, bali ni CHACHANDU, ... kinachomata ni usafi na utunzaji wa muhusika! Mimi binafsi huwa sipendi mtu anayenyoa vuzi loote mpaka anakuwa kama kuku aliyenyonyolewa! [emoji28]
MAONI YENU MUHIMU WADAU!
The same applies hata kwa ndevu [emoji106]Mimi naona ni uchafu zikiwa nyingi bila kupunguzwa au kutolewa kabisa.
Lakimakonde ndo linalonihamasisha zaidi! 😅Lijivuzi la kizungu au la kimakonde unaloliongelea?
Nazitrim kwa mkasi! 😅Kwamin naona niuchafu coz kitu chochte kikizid uwa nikelo atamim naamin unanyoa zikiwa nying
mavuzi napendaNyoa vuzi hilo acha janja janja.
Kama unafanya kwa pupa na kutaka kumkomoa kwanini yasikukate! 😅
Huko niko verified! 😅 ... halafu zile ni forums za kima cha chini (akina aliye juu mngoje chini kibao), japo zipo based maulaya! 😅Mkuu pambana na wahusika kwenye comments za hiyo video
... mswahili buanaaa! ... hata mtu akiwa na kile kikwapa cha mbaali kinachohamasisha wenyewe huuita uchafu! ... tokea watu wajifunze kuoga hatusemi! 😅Hizi nywele zote kwanzia Ndevu, Armpits na Pubic hairs zina faida zake mwilini hasa Armpits na Pubic hair.
Pubic hair sio uchafu ila huonekana uchafu kwa sababu kuu mbili;-
1. Personal Preferences.
2. Your Partner's Preferences.
Faida za Pubic hair;-
-Reducing friction.
-Prevent bacteria and other microorganism from transmitting to others.
-Maintain the optimal temperature for the genitals region.
-Trapping pheromones.
so pamoja na wanaoona ni uchafu ila zijueni hiz ndio faida zake!
... mswahili buanaaa! ... hata mtu akiwa na kile kikwapa cha mbaali kinachohamasisha wenyewe huuita uchafu! ... tokea watu wajifunze kuoga hatusemi!
Kwa kweli mtu anaefuga mindevu nae namuona mchafu.
Kweli Kila mtu na mtazamo wake,Kwa kweli mtu anaefuga mindevu nae namuona mchafu.
Napenda mwanaume mwenye ndevu ila zipunguzwe aonekane smart, sijasema sipendi ndevu kabisa.Kweli Kila mtu na mtazamo wake,
My wife alinikataza kunyoa ndevu kabisa,
Nachokifanya ni kupunguza tu, na nazitunza na zinapendeza sana
Ahaaa , nimekuelewa mkuuNapenda mwanaume mwenye ndevu ila zipunguzwe aonekane smart, sijasema sipendi ndevu kabisa.