Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Salamu zenu wana JF.
Leo naomba tuzungumzie Public Transport kati ya majiji haya mawili yaani Dar es salaam na Nairobi.
Nawaomba tulete habari zenye references, hususani picha na link zile za kuaminika.
Mimi nitajitahidi kuleta taarifa kutoka dar es salaam maan ndio naishi mda mwingi.


IMG-20151005-WA0044_zpsly4hsmog.jpg

Sasa nitaanza kwa aina ya usafiri uliopo dar es salaam
1. Train
2. Usafiri wa majini-Kivuko(Pantoni)
3. Bajaji
4. Pikipiki (Boda boda)
5. Taxi
6. Daladala
7. BRT - Dar Rapid Transit
8. Usafiri wa Boats kwenda kwenye visiwa vya Dar es Salaam

Nitaanza kuelezea usafiri baada ya usafiri.

Nawaomba na nyie wenzetu (Watani zetu) Toka huko Nairobi mtuletee usafiri wenu.
Hii ni kwa faida ya wale wanaosafiri.
Kejerei, Vijembe na kutoa povu lako unaruhusiwa.

Karibu
 
Nairobi wana matatu[emoji41][emoji41]
 
Nairobi hawana BRT lakini mfumo wao wa public transport umekaa vizuri sana. Kwanza kama sikosei mabasi yote yanasimamiwa na kampuni au shirika, pili kuna nidhamu kwa abiria, hakuna kusimama na vilevile hakuna kugombania kuingia kwenye basi, abiria wanapanga mstari kistaarabu bila shuruti. Kwa kifupi niliupenda ule utaratibu.

Licha ya kwamba Dar es Salaam tumeleta BRT, kwa mwendo tunaoenda nao na kama huduma itaendelea kua ya kiwango hicho, mradi hautakua na tija na mwisho utakufa kabisa.
 
Nairobi hawana BRT lakini mfumo wao wa public transport umekaa vizuri sana. Kwanza kama sikosei mabasi yote yanasimamiwa na kampuni au shirika, pili kuna nidhamu kwa abiria, hakuna kusimama na vilevile hakuna kugombania kuingia kwenye basi, abiria wanapanga mstari kistaarabu bila shuruti. Kwa kifupi niliupenda ule utaratibu.

Licha ya kwamba Dar es Salaam tumeleta BRT, kwa mwendo tunaoenda nao na kama huduma itaendelea kua ya kiwango hicho, mradi hautakua na tija na mwisho utakufa kabisa.
Sawa leta basi hizo references ili tuone nataka tuweke references kwa faida ya wasafiri.
 
Yes hata mimi napenda Nairobi utaratibu wao wa kwenye matatu zao, hakuna kusimama, kupanda kwa foleni, Ila hapa kwetu hiyo BRT nzuri kwenye picha au kama hujapanda, huu kwa dar ni moja ya usafiri wa hovyo ambao haujawahi kutokea,
 
Nairobi hawana BRT lakini mfumo wao wa public transport umekaa vizuri sana. Kwanza kama sikosei mabasi yote yanasimamiwa na kampuni au shirika, pili kuna nidhamu kwa abiria, hakuna kusimama na vilevile hakuna kugombania kuingia kwenye basi, abiria wanapanga mstari kistaarabu bila shuruti. Kwa kifupi niliupenda ule utaratibu.

Licha ya kwamba Dar es Salaam tumeleta BRT, kwa mwendo tunaoenda nao na kama huduma itaendelea kua ya kiwango hicho, mradi hautakua na tija na mwisho utakufa kabisa.
Thank you!!!
 
Ratiba ya usafiri wa Train Ndani ya jiji la Dar es salaam

Leo July 29 2016 uongozi wa kampuni ya reli Tanzania ‘TRL’ umetangaza kubadilishwa kwa muda wa kuondoka treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda bara kuanzia August 02 2016, ambapo treni itaondoka saa 9 alasiri badala ya saa 11 jioni ilivyozoeleka.

Mabadiliko hayo yamefanyika ili kutoa nafasi kwa treni ya pili ya huduma ya jiji kutoka kituo kikuu cha reli cha Dar es salaam kwenda Pugu ambayo itaanza kutoa huduma Jumatatu Agosti Mosi, 2016.

Aidha huduma mpya ya treni ya jiji kwenda Pugu itakuwa na vituo 10 kama ifuatavyo, Pugu stesheni, mwisho walami, Gongo la mboto, FFU Mombasa, Banana njia panda kwenda Segerea) na Karakata, vingine ni pamoja na Vingunguti Mbuzi, SS Bakhressa, kamata na kituo kikuu cha reli Dar es salaam.

Huduma ya treni imeelezwa itakuwa ya awamu mbili asubuhi na alasiri ambapo treni ya kwanza itaondoka kituo cha Pugu saa 12 asubuhi na kuwasili kituo cha Dar es salaam saa 12:55 asubuhi na kufanya safari 3 zitakazomalizika saa 05:15 asubuhi.

Jioni pia kutakuwa na safari 3 ambapo treni ya kwanza itaondoka kituo cha Dar es salaam saa 09:55 alasiri kwenda pugu na kuwasili saa 10:50 jioni na safari ya mwisho kutoka Pugu kwenda Dar es salaam itakuwa saa 03:20 usiku.


Huduma mpya ya usafiri wa treni kuanza Dar, Tazama hapa ratiba na vituo vyake - millardayo.com
 
Yes hata mimi napenda Nairobi utaratibu wao wa kwenye matatu zao, hakuna kusimama, kupanda kwa foleni, Ila hapa kwetu hiyo BRT nzuri kwenye picha au kama hujapanda, huu kwa dar ni moja ya usafiri wa hovyo ambao haujawahi kutokea,
Thank you!! [emoji41][emoji41]
 
Kumbe umeleta uzi ukiwa na ushindi mfukoni? Haya mshindi wewe, kama DART Ndio usafiri wangu wa Kila siku kwenda kazini
Leta References. Hapa hatusindani. Tunataka watu wanaosafiri wakifika maeneo husika wajue cha kufanya. Au huelewi?
 
Nairobi Public Transport iko poa sana..siku za kazi hata unaona bora uache tu gari home..unachukua matatu, asubuhi unaangalia episode yako ya game ot thrones taratibu na nescafe ndani ya matatu..
Thank you!! [emoji7][emoji7][emoji7]

I think No Kenyans shall comment here Wacha apewe Na waTZ wenzake ....amekuwa mtoto sana
 
Kapande gari za mbagala, makongo juu, tegeta , bunju, mbezi na gongo la mboto ndio utajua usafir wa dar ni bora au laah!!!!..... Huitaji kufika nairobi ndio ujue usafiri wa dar ni wa kijinga na ovyo ....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji23][emoji23]

Thank yee!
 
Back
Top Bottom