Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Salamu zenu wana JF.
Leo naomba tuzungumzie Public Transport kati ya majiji haya mawili yaani Dar es salaam na Nairobi.
Nawaomba tulete habari zenye references, hususani picha na link zile za kuaminika.
Mimi nitajitahidi kuleta taarifa kutoka dar es salaam maan ndio naishi mda mwingi.
Sasa nitaanza kwa aina ya usafiri uliopo dar es salaam
1. Train
2. Usafiri wa majini-Kivuko(Pantoni)
3. Bajaji
4. Pikipiki (Boda boda)
5. Taxi
6. Daladala
7. BRT - Dar Rapid Transit
8. Usafiri wa Boats kwenda kwenye visiwa vya Dar es Salaam
Nitaanza kuelezea usafiri baada ya usafiri.
Nawaomba na nyie wenzetu (Watani zetu) Toka huko Nairobi mtuletee usafiri wenu.
Hii ni kwa faida ya wale wanaosafiri.
Kejerei, Vijembe na kutoa povu lako unaruhusiwa.
Karibu
Leo naomba tuzungumzie Public Transport kati ya majiji haya mawili yaani Dar es salaam na Nairobi.
Nawaomba tulete habari zenye references, hususani picha na link zile za kuaminika.
Mimi nitajitahidi kuleta taarifa kutoka dar es salaam maan ndio naishi mda mwingi.
Sasa nitaanza kwa aina ya usafiri uliopo dar es salaam
1. Train
2. Usafiri wa majini-Kivuko(Pantoni)
3. Bajaji
4. Pikipiki (Boda boda)
5. Taxi
6. Daladala
7. BRT - Dar Rapid Transit
8. Usafiri wa Boats kwenda kwenye visiwa vya Dar es Salaam
Nitaanza kuelezea usafiri baada ya usafiri.
Nawaomba na nyie wenzetu (Watani zetu) Toka huko Nairobi mtuletee usafiri wenu.
Hii ni kwa faida ya wale wanaosafiri.
Kejerei, Vijembe na kutoa povu lako unaruhusiwa.
Karibu