Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Usafir wa Taxi ndani ya jiji la Dar es salaam.
Taxi za dar es salaam zimewekewa alama(Mstari ubavuni na namba).
Mistari inahusika na Wilaya tatu za Dar es salaam
1. Kinondoni ni rangi ya Njano (Yellow)
Kinondoni.jpg

2. Temeke ni rangi ya bluu (Blue)
Temeke.JPG


3. Ilala ni rangi ya kijani (Green)
Ilala.png
 
Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?
Hahahaha sasa unabisha nini wewe sio nyani???
 
Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?
Wewe jamaa mapovu mengi utadhani una hisa na dsm.. Kwenu mtwara hupatetei . Unaitetea dsm.
Hence wewe ni nyani.
 
Asante kwa kuwatukana wazazi wangu.
Ila kwenye bandiko langu sentensi ya mwisho nimeandika" ukweli unauma" - hii Tanzania sio yako usijifanye wewe unaipenda sana.. Inabidi tubadilike tuwe civilised iys very simple but sio kwa matusi na short minded kama wewe.
Lazima tuangalie mbele na tusiangalie chini

Kawaida yenu ninyi wapuuzi ni kusifia vyawatu hata kama sivyo
Uje umkatae na babako use me siyo kwa kuwa hana pesa!!!

Ulitakiwa kuonyesha hapa hicho unacho kiamini kutoka Nairobi siyo kupayuka kama umekunywa Viroba.

Hakuna public transport ya maana Nairobi
 
Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?

Annael wachana na watu walio zaliwa kwa bahati Mbaya wanaishi kwa makusudi
 
Kawaida yenu ninyi wapuuzi ni kusifia vyawatu hata kama sivyo
Uje umkatae na babako use me siyo kwa kuwa hana pesa!!!

Ulitakiwa kuonyesha hapa hicho unacho kiamini kutoka Nairobi siyo kupayuka kama umekunywa Viroba.

Hakuna public transport ya maana Nairobi
Wewe nawe ni nyani tu..
Sijasema kuwa nairobi kuna usafiri mzuri ..
Acha unyani... Nyani haondi kunddule ndio wewe hapo. Unatukana wazazi wangu wamekufanyaje? Acha akili za kinyani kama mwezako..
In short usafiri wa dsm hakuna cha kusifia .. Bado sana hali ni mbaya..
Nyie wote mnaodhani kuwa usafiri wa bongo ni mzuri hamjawahi kuishi mbagala au gongo la mboto na ndio maana nawaoba nyie kuwa ni manyani.
Kenge wahedi
 
Wewe nawe ni nyani tu..
Sijasema kuwa nairobi kuna usafiri mzuri ..
Acha unyani... Nyani haondi kunddule ndio wewe hapo. Unatukana wazazi wangu wamekufanyaje? Acha akili za kinyani kama mwezako..
In short usafiri wa dsm hakuna cha kusifia .. Bado sana hali ni mbaya..
Nyie wote mnaodhani kuwa usafiri wa bongo ni mzuri hamjawahi kuishi mbagala au gongo la mboto na ndio maana nawaoba nyie kuwa ni manyani.
Kenge wahedi
Kwikwikwi povu la nini sasa dogo.
Rudi kwenye mada dogo langu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wenyewe kwa wenyewe sasa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wekeni picha za mbagala mnaweka picha za brt na uber.. Nairobi uber ipo hadi helkopta .. Kuna city hopper..
Nina uhakika nyie hamjawahi kukanyaga Nairobi ila nawahakikishia .. Bibi kizee anaweza kutumia public transport Nairobi any time iwe jioni mchana au usiku .. Y
Ila kwa dsm .. Watu ni kama manyani bibi kizee atasukumwa kule wanawake wanasukumwa kulee.. Wanaume na vijana na wenye nguvu ndio wanapanda gari. Its a shame!!
Afu hawa kenge wAwili wananitukania wazazi wangu kisa tu nimeongea ukweli na uhalisia?
 
Nairobi hawana BRT lakini mfumo wao wa public transport umekaa vizuri sana. Kwanza kama sikosei mabasi yote yanasimamiwa na kampuni au shirika, pili kuna nidhamu kwa abiria, hakuna kusimama na vilevile hakuna kugombania kuingia kwenye basi, abiria wanapanga mstari kistaarabu bila shuruti. Kwa kifupi niliupenda ule utaratibu.

Licha ya kwamba Dar es Salaam tumeleta BRT, kwa mwendo tunaoenda nao na kama huduma itaendelea kua ya kiwango hicho, mradi hautakua na tija na mwisho utakufa kabisa.
Hakika hili lilinifurahisha, i wish watz tungejifunza.
 
Back
Top Bottom