Thank you!! [emoji7][emoji7][emoji7]
I think No Kenyans shall comment here Wacha apewe Na waTZ wenzake ....amekuwa mtoto sana
Hahahaha sasa unabisha nini wewe sio nyani???Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?
Kada wa Ccm!!!Hii mada hainogi bila mchango wa yule kada wa ccm MOTOCHINI ,ligi hii jaman tupiamo walau picha mbili tatu mkuu
Hakika yafaa kucheka.. Kama sio kusikitika..Nimecheka yangu yote....As simple as ABC.
Wewe jamaa mapovu mengi utadhani una hisa na dsm.. Kwenu mtwara hupatetei . Unaitetea dsm.Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?
Asante kwa kuwatukana wazazi wangu.
Ila kwenye bandiko langu sentensi ya mwisho nimeandika" ukweli unauma" - hii Tanzania sio yako usijifanye wewe unaipenda sana.. Inabidi tubadilike tuwe civilised iys very simple but sio kwa matusi na short minded kama wewe.
Lazima tuangalie mbele na tusiangalie chini
Tatizo lako hujasoma hata uzi unaongelea nini unakuja kuropoka tu kwa ujinga.
Wewe unapo waita watu wa DMS wanafanana na Nyani huoni kuwa wewe ni mjinga kichwani?
Au unaona ni sifa kuwaita wenzako manyani?
Hapa tunaongelea usafiri ndani ya DSM na Nairobi.
Sasa umekuja na kubwatuka tuuuuu bila hata kusoma na kujua thread inaongelea nini.
Tumia kichwa chako vizuri. Unapowatukana wenzako kuwa wanafanana na nyani, kama wazazi wako wanakaa dsm nao pia watakuwa kama manyani. Au unaita manyani akina nani?
Tumia akili wewe!!?
Wewe nawe ni nyani tu..Kawaida yenu ninyi wapuuzi ni kusifia vyawatu hata kama sivyo
Uje umkatae na babako use me siyo kwa kuwa hana pesa!!!
Ulitakiwa kuonyesha hapa hicho unacho kiamini kutoka Nairobi siyo kupayuka kama umekunywa Viroba.
Hakuna public transport ya maana Nairobi
Wewe jamaa kenge sana. Kesi sio yako unainunua ya nini?Annael wachana na watu walio zaliwa kwa bahati Mbaya wanaishi kwa makusudi
Kwikwikwi povu la nini sasa dogo.Wewe nawe ni nyani tu..
Sijasema kuwa nairobi kuna usafiri mzuri ..
Acha unyani... Nyani haondi kunddule ndio wewe hapo. Unatukana wazazi wangu wamekufanyaje? Acha akili za kinyani kama mwezako..
In short usafiri wa dsm hakuna cha kusifia .. Bado sana hali ni mbaya..
Nyie wote mnaodhani kuwa usafiri wa bongo ni mzuri hamjawahi kuishi mbagala au gongo la mboto na ndio maana nawaoba nyie kuwa ni manyani.
Kenge wahedi
Hakika hili lilinifurahisha, i wish watz tungejifunza.Nairobi hawana BRT lakini mfumo wao wa public transport umekaa vizuri sana. Kwanza kama sikosei mabasi yote yanasimamiwa na kampuni au shirika, pili kuna nidhamu kwa abiria, hakuna kusimama na vilevile hakuna kugombania kuingia kwenye basi, abiria wanapanga mstari kistaarabu bila shuruti. Kwa kifupi niliupenda ule utaratibu.
Licha ya kwamba Dar es Salaam tumeleta BRT, kwa mwendo tunaoenda nao na kama huduma itaendelea kua ya kiwango hicho, mradi hautakua na tija na mwisho utakufa kabisa.
Madogo hawana exposure hawa. Ngoja tuwaelimishe kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe kwa wenyewe sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]