Public Transport Dar es salaam vs Nairobi


Wewe Akili yako ndogo
Ulitakiwa kuweka picha, video,link nasio kutukana watu bila sababu.
Nairobi wewe hujafika
Na huijui
Usitukane watu hovyo
Tunalaumu wazazi wako kuzaa kituko
 
Sasa si uweke wewe?
 
Wewe Akili yako ndogo
Ulitakiwa kuweka picha, video,link nasio kutukana watu bila sababu.
Nairobi wewe hujafika
Na huijui
Usitukane watu hovyo
Tunalaumu wazazi wako kuzaa kituko
Sawa akili kubwa.. Kama wewe umefika mbona huweki picha? Au kuna kitu kinakuwasha?
Weka picha za Nairobi manake si umefika
 
Umesema anae ishi dar ni nyani
Ulitegemea nini!!!
Jifunze kuropoka bila kutukana watu

Ungelimuita Annael nyani kesi ni yake mwenyewe
Unaposema wakazi wa dar unatukana wengi
Wewe ndio kabisa akili zako za kitumbili kabisa. Sasa kitu gani huelewi hapo?
Usafiri wa dsm sio rafiki . Nyani tu ndio atashindwa ama atatumia nguvu nyingi kunielewa.
 

Hakuna alie mtukana mzazi wako
Labda nikufahamishe
Usafiri mzuri ni pesa yako na si vinginevyo,

India ni nchi yenye uchumi wa juu sana
Lakini wana usafiri Mbaya zaidi ya Tanzania pia
Lakini unaweza kutumia usafiri mzuri kulingana na sehemu na pesa yako.
Fuatilia treni za India zilivyo

Lakini kwa vile wewe ni bwege
Na ulizaliwa kama wajibu tu
Ningumu kuelewa .
 
Umesema anae ishi dar ni nyani
Ulitegemea nini!!!
Jifunze kuropoka bila kutukana watu

Ungelimuita Annael nyani kesi ni yake mwenyewe
Unaposema wakazi wa dar unatukana wengi
Wewe ndio kabisa akili zako za kitumbili kabisa. Sasa kitu gani huelewi hapo?
Usafiri wa dsm sio rafiki . Nyani tu ndio atashindwa ama atatumia nguvu nyingi kunielewa.
 
Wewe ndio kabisa akia zako za kitumbili kabisa. Sasa kitu gani huelewi hapo?
Usafiri wa dsm sio rafiki . Nyani tu ndio atashindwa ama atatumia nguvu nyingi kunielewa.
Ukose kuwa narafiki unataka usafiri uwe rafiki!!!
Pole sana

Weka picha au video unacho kiamini Kutoka Nairobi.
Hutakiwi kutukana watu
Weka picha za ubaya wa dar na uzuri wa Nairobi
 
Wewe ndio kabisa akili zako za kitumbili kabisa. Sasa kitu gani huelewi hapo?
Usafiri wa dsm sio rafiki . Nyani tu ndio atashindwa ama atatumia nguvu nyingi kunielewa.
Sasa usafiri wa Nairobi ukoje hebu weka hapa basi tuone.

Maana umekomaa kweli kuwaita wakazi wa dsm manyani.

Hebu jaribu kuweka references za nairobi basi.
 
Thread imeanzishwa vizuri
Kinacho takiwa ni kuonyesha watu
Usafiri wa umma Dar na Nairobi.
Mambo ya vijembe matusi
Niupungufu wa Akili tu
 
Sawa akili kubwa.. Kama wewe umefika mbona huweki picha? Au kuna kitu kinakuwasha?
Weka picha za Nairobi manake si umefika
Sishindwi kuweka kwani hata za dar sijaweka nikiamua kuweka za dar thread itajaa

Nairobi Hata kama kuna tatizo la usafiri pia
Siwezi kuwaita Nyani wakazi
 
BAWATA WATOA TAMKO VIFO VYA ALBINO

BARAZA la Wanganga wa Tafiti wa Tiba Asilia (BAWATA) limetoa tamko la kulaani mauaji ya Albino yanayotakana na imani za kishirikina kwani ni kinyume cha haki za binadamu. Mwenyekiti wa BAWATA, Shaka Mohamed kupitia taarifa yake aliyoitoa kwenye vyombo vya habari amesema wanalaani vitendo vya mauaji ya Albino kwani vinawadhulumu binadamu hao haki yao ya kuishi kwa amani na usalama kama binadamu wengine. Ili kukomesha vitendo hivyo, BAWATA limeandaa mkakati wa daftari la wanganga wa tiba za asili ambalo litakuwa na taarifa za wataalam hao, majina yao, picha zao, sehemu wanazoishi pamoja na aina ya tiba wanazozitoa na hata mawasiliano yao ya simu zao ili kusaidia kuwabaini waganga ambao wanashinikiza mauaji hayo. Taarifa ya BAWATA imesema, kila kata nchini itakuwa ikisimamia uandaaji wa daftari hilo kwa utaratibu waliojiwekea ambao utarahisisha mawasiliano miongoni mwao na kuwaweka karibu hivyo kufuatilia shughuili zao za kila siku na kubaini wale wote wanaokwenda…

watanzania mbona roho zenu nyeusi kiasi hiki!!! wachiane viembe vya mungu waishi jameni..........









 
Huu sasa ni upungufu wa akili. Tunaongelea public transport wewe unaleta vitu vingine.
I think nyie wakenya sasa mnachanganyikiwa sasa.

Ni upuuzi uliozidi.
 
Huu sasa ni upungufu wa akili. Tunaongelea public transport wewe unaleta vitu vingine.
I think nyie wakenya sasa mnachanganyikiwa sasa.

Ni upuuzi uliozidi.

Huu sasa ni upungufu wa akili. Tunaongelea public transport wewe unaleta vitu vingine.
I think nyie wakenya sasa mnachanganyikiwa sasa.

Ni upuuzi uliozidi.

ahahaa ah....A dose of your own medicine. kama kizungu umepata jirani kukutafsiria!!!

Tanzania albino murders: 'More than 200 witchdoctors' arrested
  • 12 March 2015
Image copyrightGETTY IMAGES
Image captionAlbinism affects around one in every 1,400 Tanzanians, far higher than average
More than 200 witchdoctors and traditional healers have been arrested in Tanzania in a crackdown on the murder of albino people.

The killings have been driven by the belief - advanced by some witchdoctors - that the body parts have properties that confer wealth and good luck.

President Jakaya Kikwete has described the murder of albino people as an "evil" that has shamed Tanzania.

Nearly 80 albino Tanzanians have been killed since 2000, the UN says.

The latest victims include a one-year-old albino boy, killed in north-western Tanzania a few weeks ago.

The government banned witchdoctors in January as part of its efforts to prevent further attacks and kidnappings targeting people with albinism.

Lizard skin and warthog teeth
Last week, 32 witchdoctors were detained.

According to the Red Cross, witchdoctors are prepared to pay $75,000 (£50,000) for a complete set of albino body parts.

Tanzanian police arrested 225 unlicensed traditional healers and soothsayers across the country, the AFP news agency reports.

"Some of those arrested were found in possession of items like lizard skin, warthog teeth, ostrich eggs, monkey tails, bird claws, mule tails and lion skin," police spokesperson Advera Bulimba told the agency.

Albinism is particularly prevalent in Tanzania with one in 1,400 affected, according to a 2006 BMC Public Health report. This compares with one in 20,000 in Western countries.

Some researchers believe the higher rate is a result of inbreeding.

hapo kwa inbreeding panatisha pia. kudungwa mimba hapo hapo nyumbani tu!!!!!


monkey tails na lizard skin nyie wakali. mnachija hawa lizard. njooni vichijio vya nyama kenya kazi mshapata tayari!!!!
 
Dar Rapid Transit
Huu ni usafiri kati ya
Kimara na Posta - Kivukoni
Kimara - Moroco
Kimara Kariakoo
Morocco - Kariakoo
Morocco - Posta - Kivukoni

Nauli sh. 650
 
Acha basi kuharibu uzi. Kuna watu wananufaika na huu uzi.
Unaoufanya hapa ni ushamba, Tunaongelea usafiri halafu wewe unaleta mambo ambayo hayaendani na uzi huu.
Kama unataka kuongelea mambo hayo anzisha uzi wa huvyo.
Unatakiwa uwe mstaarabu.
 
Acha basi kuharibu uzi. Kuna watu wananufaika na huu uzi.
Unaoufanya hapa ni ushamba, Tunaongelea usafiri halafu wewe unaleta mambo ambayo hayaendani na uzi huu.
Kama unataka kuongelea mambo hayo anzisha uzi wa huvyo.
Unatakiwa uwe mstaarabu.

ukipunguza ushamba wewe mwenyewe kutafuata na ukielewe maana ya neno ustaraabu ni nini! wewe hauna ata chembe dalili za tabia ya kistaarabu!!!!

Where albino body parts fetch big money, albinos still get butchered



By Lindsey Bever March 13, 2015
albinism is prevalent, people born without pigment in their skin are thought to possess special powers, but not in a good way. Superstitions feed myths that albinos are ghosts, sorcerers or demons who have been cursed and, when hunted and killed for body parts, bring good luck to others.

Zeid Ra’ad al-Hussein, the United Nations high commissioner for human rights, announced Thursday that attacks against albinos have spiked this year in East Africa, especially in Malawi and Tanzania.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…