Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Unaweza ukatumia digital card kutumia usafiri wa DART
 
Phase 2 ya BRT
 
Civil work kuanza mwaka huu DART
 

majeshi yenye nguvu zaidi Africa!!!!


 
Wewe lengo lako ni kuharibu. Ok
Wewe endelea tu lakini sio poa
Ni ushamba huo.

naja kaka...tunapata commercial break!!! tiba nzuri ni kumtibu mshamba kama wewe na dawa yako mwenyewe. lakini kuna kaka mmoja hapa lugha yake nzuri na kwa heshima yake nampa break!!!
 
I doubt that, umewahi panda basi wakati wa rush hour?
 
Annael MOTOCHINI game over mlicho weka hapa kinaeleweka, tatizo humu kuna mamluki wengi sana, kuna watu wapo kwenye payroll fulani. Nini kigumu kuelewa mpaka unashindwa kukaa kwenye mada? Nilitegemea wenzetu wangeweza kuelezea Nairobi wana safari vipi kila siku ili wasio juwa waweze kujifunza, lakini ni vijembe mwanzo mwisho (talking about building bridges.. huh).

Japo sina picha, kwa upande wengu mimi mabasi ya matatu ya Nairobi yana nishinda vitu viwili, muziki mkubwa, na speed. Unaweza kupanda matatu unapigiwa BASS mpaka ukasikia kama kichwa kinataka kupasuka. Sijuwi kina mama wajawazito wanawezaje kutumia usafiri na watoto wao tumboni. Speed ni swala lingine hatari, wakenya wanalijuwa vizuri.
 

Mimi nimewapotezea. Kwakuwa huu uzi wanasoma wengi najua wengi watafaidika.
Na leo kwakuwa ni weekend nitaweka taarifa nyingi tu.

Yaani mtu amekomaa na vitu tofauti kabisa na mada kumuuliza kuhusu mada analeta picha za walemavu wa ngozi.

Nina uhakika hii ni dalili ya kuishiwa. Hakuna hata mmoja ameweka usafiri wa kenya wote eti wanasifu tu bila hata evidences na references.
 
Tanzania usafiri wa umma sio mzuri miaka yote usimamizi wa hiyo BRT hauko wazi kabisa bado uswahili tu, kwa ufupi kenya washatuacha mbali sana kwenye mambo mengi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…