Public Transport Dar es salaam vs Nairobi

Acha porojo na mipasho.
Inaonekana umezoea sana kukaa salon za wanawake kupiga porojo kwa sababu umetoka kwenye mada uliyoileta umeanza mipasho. Kwa nini hutaki kukubali challenge?
Sio kila mtu atakubaliana na akili zako finyu acha mipasho.
Challenge ipi umeleta wewe. Nimekuambia ulete evidences unaanza kulia lia na kuwaita watu wa Dar ni manyani. Huo ni upunga.
Prove yale unayoyasema mimi nimeweka picha sources kibao wewe unakuja kutoa upepo tu.
Acha ujinga.
 
Challenge ipi umeleta wewe. Nimekuambia ulete evidences unaanza kulia lia na kuwaita watu wa Dar ni manyani. Huo ni upunga.
Prove yale unayoyasema mimi nimeweka picha sources kibao wewe unakuja kutoa upepo tu.
Acha ujinga.
Acha kulia lia kama mwanamke. Mimi maisha yangu yote naishi dsm. Wapi nimewaita watu wa dsm kuwa ni manyani?
Nyani tumbili nimekuita wewe hapo mwenye temper...
Sikia Nairobi city hopper zao zina hadi wifi.. Sijui hata kama unajua wifi ni kitu gani..?
In short nakupa promo sana kubishana na wewe kiazi.
 
Mkuu utaambiwa hz picha ni za miaka 14 iliyopita,wakenya wanajua uzalendo na kutetea kila kitu chao hata kikiwa akiko sawa watakijengea hoja ili tu waonekane wako smart!
Kuna jamaa hapa linajiita Saint Ivunga yaani huyu jamaa sijui akili zake zikoje mpaka wakenya wanamshangaa.

Hawa watu sio wakufanya nao hata issue yoyote.
Wakenya wakiona mwenzao kapotoka wanaka kimya kimtindo.
 
Kuna jamaa hapa linajiita Saint Ivunga yaani huyu jamaa sijui akili zake zikoje mpaka wakenya wanamshangaa.

Hawa watu sio wakufanya nao hata issue yoyote.
Wakenya wakiona mwenzao kapotoka wanaka kimya kimtindo.
Ttz la wengi wetu siasa imewateka akili
 
ukifika ukiishi ukajionea na kupanda ndio utaelewa vizuri. binafsi naona public transports za nrb na dar zina utamaduni tofauti kabisaaaa.

matatu vs daladala, kuanzia aina za gari, nauli kupanda na kushuka kutegemea na muda (peak off peak) pimped brandings(zinaweza kuwa ukuta wa matangazo, utakuta zimechorwa wasanii, watu mashuhuri, celebrities etc na zimeandikwa jumbe na quotes ndani nje), musics aka hewa, mataa taa mengi kama gari za kusindikiza harusi au father christmass, seat belts for safety ingawa hazifungwi muda wote n.k, kuingia kwa kupanga mstari kwenye main stages aka vituo, aina za gari nyingi isuzu hizi ama zamani bongo tuliita chai maharage (hii inatokan na isuzu kuwa na assembling plant nrb na inawezekana inakua nafuu), lugha za makonda aka makanga. na umiliki wake ziko katika saccos aka sacco mfano wamasaa sacco, OngataLine sacco(hii ni classic kwa maana gari zake huwa ziko pimped mbaya) jamaa hadi wana tuzo za sacco ipi gari zake ziko Porsche....kuna zingine hadi ni first class... na kila sacco ina routes zake huu kiukweli ni utaratibu mzuri

haya tukirudi bongo gari zetu na zenyewe zina yake, kwanza ni comfortable hasa ukikuta hizi coaster zetu zikiwa bado mpya(sidhani na sijawahi ona matatu ya coaster nrb), hazipambwi pambwi unnecessarily. Nrb ukinunua gari kawaida tu kavu kavu ukaiweka barabarani hujaiwekea muziki au hewa wenyewe wanavoita n kuipimp basi biashara yako itakua hati hati. ni utamaduni tu. za bongo pia routes zimeandikwa mbele ila za nrb zinatumia namba.

Public train hizi za kupeleka watu Jijini dar ipo hata nrbi pia ipo. boda boda aka nduzi pia zipo ,bajaj ziko chache sanaaaa almost to nothing sio kama bongo.

boti /meli/ mitumbwi nrb hakuna bahari/ziwa/mito.

kifupi public transports ni utamduni wa nchi na nchi na watu. ni sawa kuanza kudadavua Beijing subway na London metro na New York subway
 
Well said broo!!
 
Kuna jamaa hapa linajiita Saint Ivunga yaani huyu jamaa sijui akili zake zikoje mpaka wakenya wanamshangaa.

Hawa watu sio wakufanya nao hata issue yoyote.
Wakenya wakiona mwenzao kapotoka wanaka kimya kimtindo.
Wewe jamaa akili yako fupi sana..
Una ushabiki mandazi sana.
Wakenya ndio maana wanakuangalia tu kwa sababu wewe ni bwege na mpumbavu.
Unaweka picha za vibasi vya btr then unaenda kwenye website za kenya jnaweka picha za kipindi cha moi.
Unadhani mtu kama wewe watu watapoteza muda kubishana na mshamba kama wewe.?
Dogo sidhani kama umeshawahi kutoka nje ya Tanzania.
Kama umeshawahi kuishi nchi yoyote nje ya tanzania mimi nitaacha rasmi kukuona kuwa wewe ni kiazi.
Mbali na hapo acha porojo
 
Wabongo nyinyi mnajiibisha na huu ugomvi wenu. Yaani hata hamwezi tii kwamba Kenya i juu yenye mara kadha. Haingii akili kuwaona mkikurupuka na vioja hapa!!! Kenya yenyewe middle class Country, Tz Third world, mbona hamauelewi na takwimu zi wazi. Hili pia mpelekwe chuo? duuh!!
Ndio haya mabasi nadhani yanakuja hadi huko Dar yakilete business people toka Kenya na yakirudisha wapotevu wa Dar

Ndani yake








(Mercedes)












Akamba Bus

Mtakoma nyinyi!!
 
Bora mkuu umemchambulia vizuri huyu dogo Annaeli.
Dogo nina uhakika ata print hili bandiko lako wiki nzima atakuwa analirudia rudia hadi aelewa.
Akili ndogo sana huyu dogo yeye kila kitu anabisha
 
Haya wewe kibibi Anaeli.
Njoo ulete tupicha vyako vya bajaji na boti la magufuli linaloenda bagamoyo dsm masaa 13.
 
Wewe ni fala fulani tu. Huna lolote.
Nimekwambia weka hizo evidences. Unakuja kupayuko kam mwehu vile.
Weka hizo za kipindi hiki hutaki. Mimi daktari wako nitakupatia dawa tu.
Twende taratibu najua sindano inakuingia vilivyo.

Mimi napenda chetu cha TZ. Wewe mkenya leta za kwenu.
Unapovimbiwa maharage ya msaada ndio unakuja kutapika utumbo humu.
Jiheshimi uheshimike.
Pimbi wewe. Hasira za mme wako usizilete kwenye mitandao malizaneni huko huko.

Rudi kwenye mada. Leta facts na references hapa. Sio kutoa uharo mdomoni.
 
Haya wewe kibibi Anaeli.
Njoo ulete tupicha vyako vya bajaji na boti la magufuli linaloenda bagamoyo dsm masaa 13.
Wewe fala tu. Naona mimba unakusumbua sana. Subiri ujifungue ndio uje JF.
 
Mapovuuu ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…