Pudding aina nyingine

Mrs Kharusy

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
1,244
Reaction score
671
Mayai 6
Maziwa sona kikopo 1
custard kijiko 1
maziwa ya unga vijiko 5
maziwa ya maji vikombe 2 na nusu vanila kijiko 1
mimina vyote kwenye blender saga.
Kwenye sufuria safi ndogo kiasi unguza sukari hadi iwe brown ila isiungue. Wacha sufuria ipoe mimina mchanganyiko wako kwenye sufuria
Ifunike foil vizuri
Kwenye sufuria kubwa mimina maji kiasi utumbukize sufuria yako yenye mchanganyiko taratibu then unachoma kwenye oven kwa muda wa saa 1 na nusu.
Itoe uwache ipoe.
Weka kwenye fridge . Upishi tayar kwa kuliwa.
 

Attachments

  • 1404240634581.jpg
    35.2 KB · Views: 377
  • 1404240659956.jpg
    58.6 KB · Views: 345
mie hayo ma-pudding yenu sikulagi kabisaaaa. labda nnachoweza kula, tena nikiwa mgonjwa ni rice pudding.
hapa simo farhkina na Mrs Kharusy.

Niambieni visheti, vibibi, bhagia na mengineyo
 
Last edited by a moderator:
mie hayo ma-pudding yenu sikulagi kabisaaaa. labda nnachoweza kula, tena nikiwa mgonjwa ni rice pudding.
hapa simo farhkina na Mrs Kharusy.

Niambieni visheti, vibibi, bhagia na mengineyo

Hahhahaha pouwa mamii...mimi siku nikikuvisit niwekee hii makitu utanifurahisha sana
 
Last edited by a moderator:
Sasa hivi unaweza kukamua nusu chungwa kisha kulichuja ili kuondoa makapi na kumpa kwa kijiko hakikisha chungwa ni tamu maana machungwa mengine mhhhh!!!! Utaona jinsi atakavyojiramba mpaka atataka kuutafuna ulimi lol!!!

Atajimba sana lol juzi nimemrambisha cherry weee kajirba huyo kanishika na mkono kwa utamu
 
Sasa hivi unaweza kukamua nusu chungwa kisha kulichuja ili kuondoa makapi na kumpa kwa kijiko hakikisha chungwa ni tamu maana machungwa mengine mhhhh!!!! Utaona jinsi atakavyojiramba mpaka atataka kuutafuna ulimi lol!!!

Nimemrambisha tu ila ntamfanya hivo leo nimtengea ndizi ya kuiva,apple na carrot ila si unazijua zile ready made ila mie nlipenda kuntengezea home ilikua nyepesi kaipenda sana ..nimempa nyonyo kakataa lol
 
Reactions: BAK
...Ya kutengeneza mwenyewe iko bomba zaidi, ready made kama huwa unanunua hakikisha expiry date hazijapitiliza. Jamaa huwa wakati mwingine wanawabambikia wateja wao.

Nimemrambisha tu ila ntamfanya hivo leo nimtengea ndizi ya kuiva,apple na carrot ila si unazijua zile ready made ila mie nlipenda kuntengezea home ilikua nyepesi kaipenda sana ..nimempa nyonyo kakataa lol
 
Sijaelewa kabisaa. Hii ni keki au ni nini? Na mnavoisifia ndo curiosity inazidi.

Hahahha pole. Jina ni Pudding...hii ni aina tu moja wapo ya dessert.
Ingia jikoni n try the recipe...tuletee mrejesho km utaipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…