Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Mkandawile: huyu mtu yuko wapi sasa hivi?
Aliwahi kupata hela nyingi hadi akanunua daladla ambazo baadhi ya siku alikuwa yeye mwenyewe anafanya kazi kama kondakta, anakusanya hela akiwa amevaa suti na tai. Suti pia ndiyo lilikuwa vazi lake rasmi muda wote wa miaka minne alipokuwa anasoma UDSM, alikuwa anavaa suti kila siku hakuwahi kuvaa mavazi tofauti na suti
Huyu mimi nilimkuta akiwa Form Six mwaka 1990, na alikuwa nakaa Bweni la Azimio au Maendeleo, kama sikosei. Ni mtu mtaratbu mpole na mwenye hekima sana.
Kipindi alipokuwa yupo Pugu, yeye ndiyo alikuwa ni mwalimu msaidizi kwa wanafunzi wenzake wote wa FVII waliokuwa wanasoma somo la Chemistry (PCB na PCM). Yeye ndiye alikuwa anawafundisha pia wanafunzi wenzake wa FVI somo la Chemistry, ukiondoa mwalimu wa somo hilo
Kuna kipindi niliwahi kusikia alianzisha hadi shule huko maeneno ya Chanika. Huyu mtu yuko wapi siku hizi?
Shule yake haikuwa Chanika bali ni Majohe. Inasemekana aliundergo mental disorder
 
Shule yake haikuwa Chanika bali ni Majohe. Inasemekana aliundergo mental disorder
Nsikitika sana kusikia taarifa hizi.
Kama kuna Daktari wa binadamu anasoma uzi huu naomba niulize swali kwamba:

Is there any POSITIVE CORRELATION kati ya watu ambao ni VERY BRIGHT halafu WAPOLE na ku-undego MENTAL DISODER?

Kuna mate wangu mwingine mmoja tulisoma wote O-level; VERY BRIGHT na pia MPOLE SANA. Nilikuja kushtukizwa na taarifa mbaya kuwa alikufa kwa kujirusha kutoka juu kwenye mojawapo ya mabweni mawili marefu sana ya ghorofa yaliyopo pale UDSM baada ya kuwa ame-undego mental disoder vile vile; ALIKUWA MPOLE SANA, HALAFU VERY BRIGHT!
MKANDAWILE naye ni MPOLE SANA, halafu tena VERY BRIGHT!!!!
 
Back
Top Bottom