Pump ya kumwagilia

rommy shabby

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2017
Posts
1,123
Reaction score
1,302
Habari wapenda humu ndani nina uza pump ya kumwagilia inch tatu aina ya boss kwa laki tatu na thelathini mpira wake laki moja na arobaini mpira ni mitaa mia vitu vyote bado vipya kabisa havitumika nilikuwa na plan ya kufanya kilimo eneo flani hivi sasa hilo eneo pump hii ya inch tatu uwezo wake ni mkubwa sn yaan ni kupandisha maji kwa eneo la maji ya chemchem hivi ama madimbwi sio nzuri kutumia maana maji yataisha yote kutokana na u kubwa wa pump na uwezo wake na pump ipo mbagala rangi tatu kama unahitaji nifate inbox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo pampu inauzwa 320000. Sido mby na uhakika Dar itakuwa chini zaidi iweje uuze sawa na dukani, mi ninaihitaji ila bei yako ni bora nikanunue mpya.mpira unacheza 160 dukani.Yafakari
 
Sawa mkuu mm nilikua siuzi kwa Tamaa lengo langu lilikua nirudishe tu pesa yng maana pump haijatumika hata kdg, kama vp ww nenda tu sido au dukani kaka ukachukue hiyo inch 3 company ya boss kwa pesa yako
Hiyo pampu inauzwa 320000. Sido mby na uhakika Dar itakuwa chini zaidi iweje uuze sawa na dukani, mi ninaihitaji ila bei yako ni bora nikanunue mpya.mpira unacheza 160 dukani.Yafakari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu mm nilikua siuzi kwa Tamaa lengo langu lilikua nirudishe tu pesa yng maana pump haijatumika hata kdg, kama vp ww nenda tu sido au dukani kaka ukachukue hiyo inch 3 company ya boss kwa pesa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu ukishatoa dukani kinashuka thamani hata kama hujakitumia, kwa mtu makini huwezi muuzia bei hiyo mana hajui inamatatizo gani, haina garantee, ukiniuzia msala unabaki kwangu kama ni mbovu.Halafu kitu kuwa kipya haimaanishi hakina matatizo, nakutakia biashara njema.
 
Hiyo pump ilikua na garantee ya mwaka mmoja nilinunua posta kwa warabu na sikuitumia ata chembe ila kwa pesa yako hiyo nenda pale kariakoo ulizia pump inch 3 company ya boss utaambiwa bei gani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…