Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
R.I.P the Former Chaneta Chairperson!!
Tahadhari kwa Filbert Bayi Schools.
Mkurugenzi huyu alikuwa chachu kubwa ya maendeleo ya Filbert Bayi.
Mwenyekiti wa zamani wa CHANETA Anna Bayi, ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa shule za Filbert Bayi na Mke wa Mwanariadha Filbert Bayi anatarajiwa kuzikwa kesho Kibaha baada ya kufariki dunia Jan 6,2021 Hindu Mandal Hosp. alipokua akitibiwa “alikua anaugua Pneumonia na Presha"
R.I.P Anna Bayi
Tahadhari kwa Filbert Bayi Schools.
Mkurugenzi huyu alikuwa chachu kubwa ya maendeleo ya Filbert Bayi.
Mwenyekiti wa zamani wa CHANETA Anna Bayi, ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa shule za Filbert Bayi na Mke wa Mwanariadha Filbert Bayi anatarajiwa kuzikwa kesho Kibaha baada ya kufariki dunia Jan 6,2021 Hindu Mandal Hosp. alipokua akitibiwa “alikua anaugua Pneumonia na Presha"
R.I.P Anna Bayi