Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nasikia toka kwa wadau wakisema covid imemuondoa duniani huyo mama.
nimeona picha za mazishi ya mtoto wa Mchonga, waombolezaji wana groves
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia toka kwa wadau wakisema covid imemuondoa duniani huyo mama.
Tusipende kuzusha zusha mambo,Nasikia toka kwa wadau wakisema covid imemuondoa duniani huyo mama.
Umeona ehee? Yaani ni balaaHii Covid mbona kama imerejea tena kwa kishindo.
Ni Mary au Anna?Alale salama Mary Bayi
Pole kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba
Kijana wake anasema ni pressure mbona.Tusipende kuzusha zusha mambo,
Siku moja kabla ya kifo chake alikuwa kafanyiwa operesheni ya utumbo, hvyo probably it went unsuccessfully
Kimatendo, she deserves best place in HeavenUfunuo 14:13
.
13 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Kijana wake anasema ni pressure mbona.
Amekiri Mama yao alikuwa na pressure.
Hujaeleweka.Wapi walikiri ilipokuwa covid a u ngoma?
Mbona tunataka kudhani sote tu hamnazo kihivyo?
Hujaeleweka.
very sadR.I.P the Former Chaneta Chairperson!!
Tahadhari kwa Filbert Bayi Schools.
Mkurugenzi huyu alikuwa chachu kubwa ya maendeleo ya Filbert Bayi.
Mwenyekiti wa zamani wa CHANETA Anna Bayi, ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa shule za Filbert Bayi na Mke wa Mwanariadha Filbert Bayi anatarajiwa kuzikwa kesho Kibaha baada ya kufariki dunia Jan 6,2021 Hindu Mandal Hosp. alipokua akitibiwa “alikua anaugua Pneumonia na Presha"
R.I.P Anna Bayi
Unachokifahamu wewe mwenzako anafaham zaidi ya pale unapoishia, so don't panic kijana wangu.Tusipende kuzusha zusha mambo,
Siku moja kabla ya kifo chake alikuwa kafanyiwa operesheni ya utumbo, hvyo probably it went unsuccessfully
Unaendeleaje?Jamani naombeni msaada nahisi Nina pneumonia hata hii habari nimeipata baada ya Ku search neno pneumonia wataalamu kama munajua medication sahh ya huu ugonjwa nisaidieni