Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
huyu mzee alikua enzi hizo harudi nyuma kwenye hayo mapambano...ni kusema na kufanya...kwa kweli alimtingisha profesa wa politics ipasavyo na pengine bila kumdhibiti kwa njia anazojua Moi ilikua ni noma sana..Apumzike pema peponi, nakumbuka mapambano ya kuleta mfumo wa vyama vingi aliongoza kwa mbele, nilihusika kwenye maandamano na kula kibano cha polisi lakini hatimaye tulishinda.
And joined hands with Jubilee Government๐๐๐KSN Matiba, Reformist politician who hailed from my home county of Murang'a. The first presidential candidate to boycot a fraud election and burn his voter's card, a statement of defiance to impunity. Raila Odinga follows closely having boycotted 2017 elections. RIP
I normaly dont discuss personalities, But their Comming together with Uhuru is only as good as the results, that isAnd joined hands with Jubilee Government๐๐๐
Tuwekee picha yake....r.i.p mpiganaji