TANZIA Pumzika kwa amani Pudenciana Temba

TANZIA Pumzika kwa amani Pudenciana Temba

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
TAAZIA: PUDENCIANA TEMBA

Majonzi.
Inachoma sana moyo.

Ikiwa mtakumbuka miezi michache sana hapa hapa niliwekewa kumbukumbu ya kifo cha Dr. Edith Kitambi nami kwa kuwa sikupata taarifa ya kifo chake nikaandika taazia.

Edith katika picha ni huyo dada kulia kwangu.
Nimesoma kifo cha Pudenciana Temba alipata kuwa Editor Daily News.

Pudenciana ni huyo kulia kwangu kwenye picha.

Pudenciana alikuwa mwanafunzi School of Journalism University of Wales Carfiff.

Picha hii imenitia majonzi sana.

Hawa dada zangu niliishinao kwa wema na ni bahati mbaya sana kuwa tulipoachana Uingereza hatukapata kuonana tena hadi napokea taarifa ya vifo vyao.

1719913670154.jpeg

1719913621487.jpeg
 
TAAZIA: PUDENCIANA TEMBA

Majonzi.
Inachoma sana moyo.

Ikiwa mtakumbuka miezi michache sana hapa hapa niliwekewa kumbukumbu ya kifo cha Dr. Edith Kitambi nami kwa kuwa sikupata taarifa ya kifo chake nikaandika taazia.

Edith katika picha ni huyo dada kulia kwangu.

Nimesoma kifo cha Pudenciana Temba alipata kuwa Editor Daily News.

Pudenciana ni huyo kulia kwangu kwenye picha.

Pudenciana alikuwa mwanafunzi School of Journalism University of Wales Carfiff.

Picha hii imenitia majonzi sana.

Hawa dada zangu niliishinao kwa wema na ni bahati mbaya sana kuwa tulipoachana Uingereza hatukapata kuonana tena hadi napokea taarifa ya vifo vyao.


Bwana katoa na bwana katwaa na jina lake litukuzwe.
 
Back
Top Bottom