dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Mambo yote mazuri tunayofaidi leo yalipatikana in a hard way; kwa jasho, machozi, na damu. Hii vita ni funzo kwa Ulaya na dunia nzima.Hii ikifanikiwa italeta maendeleo makubwa na mapinduzi ya kiteknolijia makubwa kuliko umeme, intaneti na computer zilivyokuwa (kwa pamoja.)