iyo nishati aiwezi kukubaliwa walishaachana na ayo mambo ya nishati ya Nuclear kitambo sana kwani unadhani west ni wajinga mpaka kukimbilia nishati ya Russia uwo mradi una madhara makubwa kwenye mazingira viwanda tu vilivyopo tayari vimeanza kuwasumbua kwa jinsi vinavyoaribu mazngira mpaka wanakaa na vikao kabisa kujadili ndio itakuwa nuclear fusion?