mushijcob
Senior Member
- May 20, 2015
- 104
- 69
#USIISHIE_NJIANI
Habari Rafiki Yangu, Leo ni siku nyingine mpya kabisa ambayo unatakiwa uende ukaitumie vyema ili kufikia mafanikio kwenye kile ulichoamua kukifanyia kazi.
Usikubali kuipoteza siku yako kwa kufanya mambo ya kawaida.
USIJIHURUMIE SANA.
Ili upate matokeo makubwa zaidi wakati mwingine inabidi ufanye kitu cha ziada. Yaani uende mbele zaidi ya vile ulivyozoeaga kufanya.
Kama huwa unasoma vitabu ongeza speed zaidi. Kama ni kuamka ongeza muda wa kuamka yaani amka mapema zaidi.
Wakati mwingine kama ulikua unalala mapema ili upate matokeo makubwa inabidi upunguze muda wa kulala kidogo kwa muda unaopigania matokeo makubwa.
Ndio hivyo rafiki ukitaka zaidi toa zaidi.
Ongeza juhudi zaidi.
Ongeza maarifa zaidi.
Ongeza idadi ya wateja zaidi.
Hakuna matokeo yatakayokuja yenyewe bila ya wewe kuweka juhudi zaidi.
Endelea kusonga mbele na usiishie njiani.
Unaweza kubadili mpango lakini usibadili lengo.
Unaweza kuongeza kuona mbali zaidi lakini usibadili maono na ndoto yako.
Punguza kujihurumia ili uvuke bonde ulilopo.
[HASHTAG]#JacobMushi[/HASHTAG]
www.mushijacob.com
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Habari Rafiki Yangu, Leo ni siku nyingine mpya kabisa ambayo unatakiwa uende ukaitumie vyema ili kufikia mafanikio kwenye kile ulichoamua kukifanyia kazi.
Usikubali kuipoteza siku yako kwa kufanya mambo ya kawaida.
USIJIHURUMIE SANA.
Ili upate matokeo makubwa zaidi wakati mwingine inabidi ufanye kitu cha ziada. Yaani uende mbele zaidi ya vile ulivyozoeaga kufanya.
Kama huwa unasoma vitabu ongeza speed zaidi. Kama ni kuamka ongeza muda wa kuamka yaani amka mapema zaidi.
Wakati mwingine kama ulikua unalala mapema ili upate matokeo makubwa inabidi upunguze muda wa kulala kidogo kwa muda unaopigania matokeo makubwa.
Ndio hivyo rafiki ukitaka zaidi toa zaidi.
Ongeza juhudi zaidi.
Ongeza maarifa zaidi.
Ongeza idadi ya wateja zaidi.
Hakuna matokeo yatakayokuja yenyewe bila ya wewe kuweka juhudi zaidi.
Endelea kusonga mbele na usiishie njiani.
Unaweza kubadili mpango lakini usibadili lengo.
Unaweza kuongeza kuona mbali zaidi lakini usibadili maono na ndoto yako.
Punguza kujihurumia ili uvuke bonde ulilopo.
[HASHTAG]#JacobMushi[/HASHTAG]
www.mushijacob.com
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app