Kuna kipindi niliacha nikapungua. Sijanywa siku 3 hizi nakunywa spirits tu na whiskyAcha bia Piga Spirits, mimi Bia nimeacha kitambo sana baada ya kuona nazidi kuongeza uzito tu.
Kuna kipindi niliacha nikapungua. Sijanywa siku 3 hizi nakunywa spirits tu na whisky
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wa kunishughulisha ndo mtihani [emoji23][emoji23][emoji23]Dawa nyingine inabidi ujishughulishe sana kunako uwanja wa Fundi Seremala. Hii dawa nzuri sana.
Inategemea ana urefu gani sio kila mtu anatakiwa awe na kilo ndogo pima urefu wako kwa.sentimita halafu toa 100 ndio uzito unaotakiwa ubaki nao na punguza tano kama utakuwa umepungua zaid usishuke zaid ya hapoMeans una zaidi ya 70?? Pungua aisee.
Hutaweza ndo tatizoHahaha , usitake nikamate FURSA [emoji16][emoji16][emoji16]
Inategemea ana urefu gani sio kila mtu anatakiwa awe na kilo ndogo pima urefu wako kwa.sentimita halafu toa 100 ndio uzito unaotakiwa ubaki nao na punguza tano kama utakuwa umepungua zaid usishuke zaid ya hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Matumizi ya maji baada ya kula umeitoa wapi? Hujui kama maji yanaenda kugandisha na kutengeneza mafuta, unapunguza tatizo unaongeza tatizo? Huwa mnafuata ushauri wa kitaalamu kweli?Unaweza kunywa chai bila sukari na mayai ya kuchemsha, mihogo au viazi vitamu. Unapiga maji baada ya kula
Mkuu ukiwa active body heat inaregulate system. Tusubiri walioingia darasani watupe ushauri. Mimi nilisoma chini ya mwembeMatumizi ya maji baada ya kula umeitoa wapi? Hujui kama maji yanaenda kugandisha na kutengeneza mafuta, unapunguza tatizo unaongeza tatizo? Huwa mnafuata ushauri wa kitaalamu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunywa chai bila sukari na mayai ya kuchemsha, mihogo au viazi vitamu. Unapiga maji baada ya kula
[emoji33]70kg! Inamaana kwasasa una 95 au?Kuna kifaa cha kuweza kuhesabu hatua? Nataka nifikishe kilo 70 kabla ya April.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mimi nimekata ila imenigomea. Nimeacha kula 3 meals kwa siku nakula Mara moja saa kumi na moja au kumi na mbili. Nakunywa maji not less than 2litres ila sipungui. Beer zenyewe nakunywa Friday tu.Kuna kipindi niliinvert formula inayofanya kazi na ilifanya kazi kweli. My motto was “everything in half except water na usingizi”. Nilikata kila nilichokuwa ninatumia by half ya normal size: wali nusu, chapati 1 badala ya 2, sukari kijiko kimoja badala ya vitatu, maji glass 8 badala ya nne, bia nilipunguza sana (sikuacha) japo most cases ilikuwa weekend tu etc.
Zoezi sikufanya zaidi ya press up chache kila asubuhi kabla ya kwenda kuoga. Nilikata kama kilo 10 hivi in about 8 weeks. So, moderation is key here.
Jamani pole ila pm yangu iko wazi kwa ajili ya kuwafariji watu kam nyie plz usisite kunitafuta nakuahdi sitakuangusha
LolJamani pole ila pm yangu iko wazi kwa ajili ya kuwafariji watu kam nyie plz usisite kunitafuta nakuahdi sitakuangusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi wap mtoto mzuri nije kukukokotoa hapo upunguze uzito kwa haraka?