minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 479
- 859
Habari za majukumu wana mizengo bila shaka muwazima wa afya naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja
PUNGUZA MISAADA WATU HAWANA KUMBUKUMBU
[emoji117]Watu wanapost sana huo msemo hapo bila kujua wanakosea san ipo hivi unapomsaidia mtu tarajia malipo kutoka kwa Mungu na sio kwa binadamu yeyote yule ila kizazi cha leo baadhi yao wanataka akikusaidia na wewe umsaidie yani ni mwendo wa biashara[emoji849] tena nieleweke hivi Mungu hajakataza kulipiza wema kwa mtu aliyekufanyia wema ila isiwe deni maana kuna watu mpaka leo wanaogopa kuweka mapito yao wazi kwa kuogopa kusimangwa baada ya kutatuliwa matatizo yao
UNAPOKUA NA NAFASI YA KUWASAIDIA WATU KWA KADLI UWEZAVYO KIROHO SAFI WASAIDIE BILA KUANGALIA UTAFAIDIKA NA NINI WASAIDIE NA USISUBIRI SHUKRANI
PUNGUZA MISAADA WATU HAWANA KUMBUKUMBU
[emoji117]Watu wanapost sana huo msemo hapo bila kujua wanakosea san ipo hivi unapomsaidia mtu tarajia malipo kutoka kwa Mungu na sio kwa binadamu yeyote yule ila kizazi cha leo baadhi yao wanataka akikusaidia na wewe umsaidie yani ni mwendo wa biashara[emoji849] tena nieleweke hivi Mungu hajakataza kulipiza wema kwa mtu aliyekufanyia wema ila isiwe deni maana kuna watu mpaka leo wanaogopa kuweka mapito yao wazi kwa kuogopa kusimangwa baada ya kutatuliwa matatizo yao
UNAPOKUA NA NAFASI YA KUWASAIDIA WATU KWA KADLI UWEZAVYO KIROHO SAFI WASAIDIE BILA KUANGALIA UTAFAIDIKA NA NINI WASAIDIE NA USISUBIRI SHUKRANI