Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi

Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi

SACO

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
2,623
Reaction score
3,397
Wanawake Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wa bukoba hapa panawahusu ukiingia mint club liquid bila kusahau linners
 
Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app

What if ni ugonjwa?

Heshimu maumbile ya binadamu wengine (wake kwa waume wenye vitambi na imperfections nyinginezo) , acha kejeli kijana hujafa hujaumbika.
 
Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app
Linapokuja suala la kuoa au la mke issue kama shape huwa haina mashiko sana labda kama hujakomaa kihisia na kiakili.
 
Nyie mbona hamzai lakini mna mimba zenu za kudumu mwajiburuza nazo sie hatusemi? Hebu tuacheni na vitambi vyetu bwana.
We chukua kaslim kako utulie kwani tunakuzuia kutafuta hizo pesa na vitambi vyetu?

Ungekuwa na pesa unadhani ungekuwa na muda wa kuviwaza vitambi vyetu? Tafuta hela dogo.
 
Kuna watu wataanza kusema unawasema watu wa kaskazini, wakina Manka
Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguzeni kula chakula bila mpangilio na fanyeni mazoezi. Mtalalamika kutoolewa na una mwili kama pipa na hela huna. Angalau ungekuwa na hela ungevipata hivi vimarioo vya Dar. Badilikeni basi sisi wanaume wenye hela we are after shape, bila shape utatongoza wanaume...

Sent using Jamii Forums mobile app
umepiga ikulu mkuu ckwapovu hilo ngoja waje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unakutana na mwanamke kitambi hadi papuchi unafanya kupangua nyama ili uione..

Am kidding

Obesity sio mpango kwa wote Wanawake na Wanaume
 
Back
Top Bottom