Hana pigo hizoπHuyo lazma ni Equation x π
Yeye sio mwanga,anapenda nuruπHuyo lazma ni Equation x π
Giza halipendezi, walau basi mwanga wa rangi....taa flani nyekunduπYeye sio mwanga,anapenda nuruπ
Nikama tu kubadilisha ratiba ya kula. Kula usiku wote na kushinda njaa mchana.Mwanga tuuachie mchana na usiku tuuachie giza lake..tuta onana mchana
chumba cha wawili muhimu kiwe na dim light.Ogopa Sana utalambishwa vipele
Ukinywa lubisi ndio unatamani giza?πππππππ haya ndio matatizo ya kunywa lubisi asubuhi
πππππdaaahJamani kwema?
Hebu fikiria Kuna mtu anaingia chumbani anafunga mlango,anazima taa,anajifunika shuka,lastly anafumba na macho kabisaaaaa !!Sasa najiuliza ni kupenda Sana giza au Aina Fulani ya kuwanga?
Jamani Raha ya kuwa wawili chumbani muonane..
Idd Mubarak.