Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gizani kun raha yake vitu vingine havivutii kuangalia😀🤣🤣🤣🤣Umefika
Sasa nijidanganye vip kwa mtu ninaelala nae na kuamka nae kila siku?Jidanganye ndani ya skin jeans Kuna mengi.....lakini huoni Kama kuonana kwenye kwenye kimwanga flan kunaongeza feelings?
🥰 Mama unafanya temboUnapenda vya giza giza kama hujanizoeaaaa🎶
Acha lizameee🎼🎵
Raha ya kuingiza ujue inapotokeaaa🎼
Acha jua lizameeeee
Dj djjjjj tunaomba acha lizame nandy ft konde boy
Aah kwamba waliopo vijijin kusiko na umeme huwasha vibatari?Tola mla gizani
Ndiyo, na mishumaaAah kwamba waliopo vijijin kusiko na umeme huwasha vibatari?
Kumbuka nilikuwa nimelewa. Ninachokumbuka wakati nalenga shabaha kuna muda nilihisi kama nimechanganya na zulia kumbe yale masikio ndio nilikuwa natangulia nayo ndani karibia msumari uteguke 🥺😊Kwani hukusikia utamu usiku🙄🙄🙄🙄🙄?
Kama hivyo unapenda kumuona lips na macho then turn the lights on,achana na gizaSasa nijidanganye vip kwa mtu ninaelala nae na kuamka nae kila siku?
Yes kunaongeza hisia sana especially kama unamfeel vilivyo mwenza wako. Macho na lips ndio ugonjwa wangu huwa sichoki kuangalia
Kwan tupo makaburini?Ndiyo, na mishumaa
kuna watu tuna macho makali mwanga kidogo tunaona vizuri tu.Kama hivyo unapenda kumuona lips na macho then turn the lights on,achana na giza