Punguzeni kuwanga jamani

Punguzeni kuwanga jamani

Jidanganye ndani ya skin jeans Kuna mengi.....lakini huoni Kama kuonana kwenye kwenye kimwanga flan kunaongeza feelings?
Sasa nijidanganye vip kwa mtu ninaelala nae na kuamka nae kila siku?

Yes kunaongeza hisia sana especially kama unamfeel vilivyo mwenza wako. Macho na lips ndio ugonjwa wangu huwa sichoki kuangalia
 
Kwa utafiti usio rasmi unaonesha zaidi ya asilimia 79.83 ya Wachezaji hupafomu chini ya kiwango kwenye Mwanga wakati asilimia hiyo hiyo hupafomu Wandazi gizani.

Kwasisi results oriented, hupendelea matokeo zaidi. Hivyo nikitumwa kuzima taa na mchezaji wangu sitakuchua zaidi ya sekunde 10 kutekeleza agizo 🙈🏃🏃
 
Sasa nijidanganye vip kwa mtu ninaelala nae na kuamka nae kila siku?

Yes kunaongeza hisia sana especially kama unamfeel vilivyo mwenza wako. Macho na lips ndio ugonjwa wangu huwa sichoki kuangalia
Kama hivyo unapenda kumuona lips na macho then turn the lights on,achana na giza
 
Kama hivyo unapenda kumuona lips na macho then turn the lights on,achana na giza
kuna watu tuna macho makali mwanga kidogo tunaona vizuri tu.

😂 nisijemuona mtoto wa watu anavyogeuza macho akiugulia utamu wa dushe nikaanza kumcheka bure
 
Back
Top Bottom