Punguzeni kuwanga jamani

Punguzeni kuwanga jamani

Giza tamu 😁
Tamu mpaka pale unapokutana na hii baada ya kumalizana na kuwasha taa😂

1682254818649.png
 
Jamani kwema?

Hebu fikiria Kuna mtu anaingia chumbani anafunga mlango,anazima taa,anajifunika shuka,lastly anafumba na macho kabisaaaaa !!Sasa najiuliza ni kupenda Sana giza au Aina Fulani ya kuwanga?

Jamani Raha ya kuwa wawili chumbani muonane..

Idd Mubarak.
Alifosi mno
Baby zima taa mshua nkasema haina shda taa ikazimwa,mtoto sura kama wema sepetu,tuko room sasambua nguo zote kuna kasauti kakasema nenda toilet.

Naenda toilet ile natoka nawasha taa bahat mbaya mama mama mama dah mizuka yote ilikata hapo hapo nkaenda nunua maji nje ndo mazma
 
Alifosi mno
Baby zima taa mshua nkasema haina shda taa ikazimwa,mtoto sura kama wema sepetu,tuko room sasambua nguo zote kuna kasauti kakasema nenda toilet.

Naenda toilet ile natoka nawasha taa bahat mbaya mama mama mama dah mizuka yote ilikata hapo hapo nkaenda nunua maji nje ndo mazma
🤣🤣🤣He ulikutana na vigodoro ama?
 
Back
Top Bottom