Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anaumia machoKwa hiyo anaumia macho?
Ulishawahi kumbana nao?Wapiga chabo walaaniwe!
acha tu mkuu,wanaZOOM balaaWapiga chabo walaaniwe!
Ndo utakuwa ushasema🤣Alafu nkishasema 😅
Mi napenda taa yenye mwanga mweusi 😂Ndo utakuwa ushasema🤣
Huko ni kwa akina anko Devil kuzimu🤣🤣Mi napenda taa yenye mwanga mweusi 😂
Hayo ndio mahaba ndi ndi ndi nikupe? 😂Huko ni kwa akina anko Devil kuzimu🤣🤣
Kwakweli sio poa 😂😂Nakazia tu kwenye taa... muwe na taa yenye mwanga mdogo sana au mwanga wa Rangi rangi kama blue au green...
mambo ya kuangaliana usoni Direct kama majogoo yanayogombana hapana😅😅
ikufikie Jeep rubicon
🤣🤣🤣Giza tamu 😁