Punguzeni masharti na sisi tupate wachumba

Punguzeni masharti na sisi tupate wachumba

Pablo

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
2,441
Reaction score
2,545
Eti kila mdada akija kutafuta mchumba utasikia anatangaza sifa za bwana amtakae. Awe mcha Mungu, sijui mrefu mara mfupi, mweupe au mweusi n.k, kinachoniuzi mimi kwenye umri tu. Utasikia awe 28 - 35 kha!

Hivi na sisi wenye umri 20-26 hamtaki tupate? Kwani humu JF ni kizazi cha 1980's tu? Hamujui kama hata 1990's tupoo. Muwe munapunguza masharti basi na wengine tupate jamani. Mtusaidie kwenye umri tu hayo mengine tutarekebishana mbele ya safari.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Eti kila mdada akija kutafuta mchumba utasikia anatangaza sifa za bwana amtakae. Awe mcha mungu, cjui mrefu mara mfupi, mweupe au mweusi n.k, kinachoniuzi mimi kwenye umri tu. Utasikia awe 28 - 35 kha! Hivi na sisi wenye umri 20-26 hamtaki tupate?? Kwani humu jf ni kizazi cha 1980's tu?? Hamujui kama hata 1990's tupoo. Muwe munapunguza masharti basi na wengine tupate jamani. Mtusaidie kwenye umri tu hayo mengine tutarekebishana mbele ya safari.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Mku usifos uhenga..
 
Eti kila mdada akija kutafuta mchumba utasikia anatangaza sifa za bwana amtakae. Awe mcha mungu, cjui mrefu mara mfupi, mweupe au mweusi n.k, kinachoniuzi mimi kwenye umri tu. Utasikia awe 28 - 35 kha! Hivi na sisi wenye umri 20-26 hamtaki tupate?? Kwani humu jf ni kizazi cha 1980's tu?? Hamujui kama hata 1990's tupoo. Muwe munapunguza masharti basi na wengine tupate jamani. Mtusaidie kwenye umri tu hayo mengine tutarekebishana mbele ya safari.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.

Dogo punguza povu dunia ya leo sisi ndio tunatafutwa haaasa
Mm na mvi zangu naitwa baby[emoji3]
Haya yasijishebedue humu vipo vittoto dogo langu ukiviangalia kifuani utafkiri endiketa za landrover 109 au ka limao
Wacha haya kifuani ka mfuko waplastik uliobebewa chips yai kisha ukatupwa[emoji3]
 
Lol.... tatizo umri wako unakua huna pesa ya kuwapa...
usijali ukifikia umri huo na ww watakupa tu. lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Tatzo syo pesa. Pesa ipo sema hawajajua tu.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Dogo punguza povu dunia ya leo sisi ndio tunatafutwa haaasa
Mm na mvi zangu naitwa baby[emoji3]
Haya yasijishebedue humu vipo vittoto dogo langu ukiviangalia kifuani utafkiri endiketa za landrover 109 au ka limao
Wacha haya kifuani ka mfuko waplastik uliobebewa chips yai kisha ukatupwa[emoji3]
Hahahaháa.... Hata mimi zipo kidevuni pia.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom