lkn smtimes mnatuonea sana.kwann hamuwezi kuzuia hisia zenu jamani?najua ni ngum lkn wengine wanazidisha kutamani jamani,utasema wamekuwa kuku?mbn wanaume na nyie mnavaa nguo za matamanio sisi hatusemi?utakuta mkaka kavaa jinsi tena now daiz tite jeans,na top(body suit)yani kama ni kwenye daladala akiiniama tu mstari sijui ule wa nn uko nje,au mwengine anavaa jeans na boxer tena ukiiona tu ni chafu akiinama kidogo boxer nje,kwani boxer si ni nguo ya ndani pia?au mwingine kipensi kifupi,tuna hisia pia na sisi ni watu jamani.SAMAHANINI SI WANAUME WOTE KWA MLIOKWAZIKA AM SORE BUT I DARE TO SPEAK..............:A S-rap:
asante Pdidy tumekuelewa na tutaifanyia kazi
Nikweli kila mtu atakuja na yake
lakini leo si mbaya mabinti sasa mnapoelekea ni pabaya na mbaya zaidi hadi watoto wa shule wamekuwa wakivaa nguo za aibu na matokeo yake wanaingia na vimini makanisan misikitini na huku wachunga wakiwaangalia
Wewe unaacha nyumba yako wazi unakuta mwizi alafu unamuuliza katokea wapi badala ya kujiuliza ameingiaje embu leo hii nenda tubu mwambie mungu nilikukosea lakini sasa kutamanisha wanaume basi...Mungu atakusamehe kwa yote..tuvvae nguo za heshima na si kuonekana na mh fulan ama mjini lazima nirudi na kiasi kadhaa cha mapredeshe wee uliza mapredeshee wangapi wamevuma sana na wengine frm uk walikuja na kasi wakishia kuzalilisha familia...utakufa nasema hata kama umekukwaa usiwaangamize wenzio kihivyo .....
Ahsante kwa kufwata yaliojuu
Hilo pedo-pusher jekundu nlokuletea umeshalivaa .!?..... LOLI will never change....mini skirts are there to stay...skintight as well
Hilo pedo-pusher jekundu nlokuletea umeshalivaa .!?..... LOL
ila jamani kuna wenzetu wanavaa hadi unajiuliza huyu hana mshipa wa aibu.mwanamke vaa pendeza vutia be sexy but classy,dont show too much skin,that is gheto and trashy.
Ukilipunguza halitakutoa vizuri bana ...............we liweke nataka nianze kukutengenezea supu.......na ulivyolileta likubwa...umesahau size yangu.......ndo nataka nikalipunguze.......vipi utapenda?.........
Si ndo hapo sasa .........embu waambie, wawe clasy kama hapo kwenye avator yako.......... just simple and classyila jamani kuna wenzetu wanavaa hadi unajiuliza huyu hana mshipa wa aibu.mwanamke vaa pendeza vutia be sexy but classy,dont show too much skin,that is gheto and trashy.