Punguzeni nguo za matamanio jamani

lkn smtimes mnatuonea sana.kwann hamuwezi kuzuia hisia zenu jamani?najua ni ngum lkn wengine wanazidisha kutamani jamani,utasema wamekuwa kuku?mbn wanaume na nyie mnavaa nguo za matamanio sisi hatusemi?utakuta mkaka kavaa jinsi tena now daiz tite jeans,na top(body suit)yani kama ni kwenye daladala akiiniama tu mstari sijui ule wa nn uko nje,au mwengine anavaa jeans na boxer tena ukiiona tu ni chafu akiinama kidogo boxer nje,kwani boxer si ni nguo ya ndani pia?au mwingine kipensi kifupi,tuna hisia pia na sisi ni watu jamani.SAMAHANINI SI WANAUME WOTE KWA MLIOKWAZIKA AM SORE BUT I DARE TO SPEAK..............:A S-rap:
 
kuna kanisa pale dsm ukienda na pamba zako kama unatoka bafuni wanakupa khanga ujisitiri nadhani next time hutorudia
 

pearl umefungua mlango wa nyumba yako wazi anakuja mwizi anaingia utamuuliza kaingiaje ama anatafuta nini??
 
Pdidy umesema ukweli kabisa!!,...Ni kama kuna mashindano humu mijini kwa wadada kwenda UCHI, kila kukicha MWAAAAAA!!!!!!!!!!!!,wapata dada kavaa nguo inatoa kiwiliwili chooote, mungu alivyo umba......, wengine hata makanisani, kisha wajiweka mbele mbele, hata mungu hamweshimu.

Chaa Ajabu zaidi, hawa kina preta, Rose...,FLady waona kijijini, wamevaa kanga na kujistiri utadhani sio waleeee!!!!
 
Imeandikwa sehemu kwenye biblia kuwa mwanaume asivae mavazi ya kike na mwanamke asivae nguo ya kiume. Pia tunaagizwa wanadamu tuheshimu miili yetu maana ni hekalu la Mungu.momonyoko wa maadili ummeanza kwa watu wazima hadi watoto. Hivi Mmama mtu mzima anavaa mpasuo ili iweje? halafu nikiyaona mapaja yake ndiyo iwe nini?. Sasa mtu kama huyo atmvisha binti nguo fupi tu na zisizo na heshima na binti atazoea hadi anakuwa mkubwa anaona ni kitu cha kawaida. Labda dini zisaidie
 

Ice Cube kashakwambia the best place to find honies is at church, sasa unataka kuwaharibia watu mawindo yao.

Ona serious tip, mbona wanaume hamuwasemi kwa hili? Mambo ya usawa siku hizi yanataka mambo yawe kote kote, hata katika lawama.

Ina maana wanawake hawateswi na vifua vilivyoachiwa kuonekana katika vi body tight shirts ?
 
Hilo pedo-pusher jekundu nlokuletea umeshalivaa .!?..... LOL

na ulivyolileta likubwa...umesahau size yangu.......ndo nataka nikalipunguze.......vipi utapenda?.........
 
Kuna nguo zingine za kuua wanaume, plse punguzeni kidogo
 
ila jamani kuna wenzetu wanavaa hadi unajiuliza huyu hana mshipa wa aibu.mwanamke vaa pendeza vutia be sexy but classy,dont show too much skin,that is gheto and trashy.
 
hapa jamani nadhani uvaaji ni tooo subjective

how much is too naked? na how much kwamba mtu ataonekana amevaa decent?

Na kama wameumbwa kwa ajili yetu, how do you get attracted kwao na for that matter kuendeleza uzazi kama hujapata wazo la ku do ze nidiful? lol
 
ila jamani kuna wenzetu wanavaa hadi unajiuliza huyu hana mshipa wa aibu.mwanamke vaa pendeza vutia be sexy but classy,dont show too much skin,that is gheto and trashy.


ndio maana nakupenda!!:hail:
 
Skirt chalanga hadi chini na blauzi ya mikono mirefu..lol, kutembea ni shida. Nikitupia skin jeans na kitopu kidogo dogo huku kitovu kinapunga upepo inakuwa mzuka!
 
wengine basi hata umbo hawana basi wakivaa hizo nguo ni kero tupu...........
 
na ulivyolileta likubwa...umesahau size yangu.......ndo nataka nikalipunguze.......vipi utapenda?.........
Ukilipunguza halitakutoa vizuri bana ...............we liweke nataka nianze kukutengenezea supu.......
 
ila jamani kuna wenzetu wanavaa hadi unajiuliza huyu hana mshipa wa aibu.mwanamke vaa pendeza vutia be sexy but classy,dont show too much skin,that is gheto and trashy.
Si ndo hapo sasa .........embu waambie, wawe clasy kama hapo kwenye avator yako.......... just simple and classy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…