Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellw africa
Siku hizi JF kila mtu ana chawa wake wengine mnaboa sana yaana uchawa promax kiasi kwamba unashindwa jishikilia shobo mda mwingine sio mzuri ndugu zangu. Punguzeni uchawa; yaani uchawa mpaka mtu unaemfanyia uchawa anachukia anakuona mswahili ana amua aku ignore kidogo.
Siku hizi JF kila mtu ana chawa wake wengine mnaboa sana yaana uchawa promax kiasi kwamba unashindwa jishikilia shobo mda mwingine sio mzuri ndugu zangu. Punguzeni uchawa; yaani uchawa mpaka mtu unaemfanyia uchawa anachukia anakuona mswahili ana amua aku ignore kidogo.