Punguzo la bei kwenye Paper Ream & Photocopy

Mwangazainvestment

New Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Kwa mdau uliyepo Dar es salaam, Mwangaza Investment ni stationary iliyopo maeneo ya Mwenge. Tunasupply reams maofisini na pia kwa watu binafsi.

Ninauza reams zenye gram 80 kwa:

TZS 7500/ream kwa mtu anayechukua reams kuanzia 5 hadi 10.
TZS 7200/ream kwa mtu anayechukua reams kati ya 10 na 20.
TZS 7000/ream kwa mtu anayechukua reams kuanzia 20 na kuendelea

Huduma hii utafikishiwa popote ulipo ilimradi uwe maeneo ya Dar es salaam.

Pia tunatoa photocopy (black & white), A4 paper size kwa TZS 30/page.

Kumbuka: Bei hizi zinaweza badilika kulingana na soko. Tunategemea bei za reams kutobalika mpaka mwisho wa mwezi huu wa December.

Tunawakaribisha wote. Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi kupitia 0712 154 842
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…