Punyeto au kujichua na madhara kiroho

Siku huko kwa Wanawake zako ukipata Ukimwi ama Homa ya Ini, Gono na shoga zao wengine ndo utagundua kuwa sio kila bahati ni mpango wa Mungu ama kukataliwa ni roho ya kishetani..
Piga Punyeto ila uwe na Mipango kabambe na uisimamie then tuletee mrejesho after 2 years
Huna laana Mkuu, you just need new plans
 
Watu mmepinda sana 🤣🤣
 
sasa hio picha ya kazi gani
 
Watu mmepinda sana 🤣🤣

Tuambiane tu ukweli, punyeto inachosha mwili na kuleta ka uvivu kama ilivyo ngono. Hilo analifahamu vizuri sasa shida inakuja anataka kuingiza vitu ambavyo havihusiani kabisa… aache uvivu achape kazi kwa nguvu zote jioni ajipooze na kimoko chali ila asichanganye mafile, kama ni nyeto ni nyeto tu.. habari za kumridhisha mwanamke hazimhusu
 
Punyeto ina madhara? ndio ina madhara. Maji ya kunywa yana madhara, Panadol zina madhara, Ugali una madhara, Jack Daniel ina madhara, wali una madhara etc etc. KILA KITU KISIPOTUMIWA AU KUFANYWA KWA NJIA SAHIHI NA KIASI, KINA MADHARA.
 
Punyeto ina madhara? ndio ina madhara. Maji ya kunywa yana madhara, Panadol zina madhara, Ugali una madhara, Jack Daniel ina madhara, wali una madhara etc etc. KILA KITU KISIPOTUMIWA AU KUFANYWA KWA NJIA SAHIHI NA KIASI, KINA MADHARA.
Chaputa umetisha sana 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…