Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ukiangalia mwishowe unafanyaje hadi ofisini haujichafuiNyeto haina shida
Ni nzuri kwa afya
Me nachoshindwa kuacha ni kuchek porn niko addicted sana
Ila nyeto nshaacha
Naweza kuwa ofsini pembeni nachek porn kisiri
Mwenye kujua madhara yake
Na jinsi ya kujinasua anishirikishe
Kwa hiyo punyeto imekuziba masikio😂Achana na uzungu wa kijinga. Ata ushoga wanasema hauna madhara, kubadili jinsia hakuna madhara, wewe amka. Punyeto ni danger. Porno na punyeto ni ndugu mmoja. Ndio maana inaitwa PMO . Porn, masturbation ,orgasm in that order.
Mkuu pole sana kwa kujiunga na cham cha wapiga punyeto Tanzania aka Chapuwata nitafute kwa wakati waki ili niweze kukutibia hayo maradhi yako ili upate kupona uguwa pole.Habar ndugu zangu,
Nimepiga punyeto kwa muda mrefu Sana nilianza 2009 Kama utani ilipofka2013 ndio nikaaza kuona madhara makubwa mwili ukadhoofu sana halafu nikawa mzito kuelewa yaani nakuwa kama zoba fulani mwili masaa yote umechoka ni nikawa napenda kulala tu.
Mpaka sasa hivi hali ni mbaya nina miaka 29 lakini niko kama mzee wa miaka 70 yaani uwezo wa kujiamini kujichaganya na watu Sina nishakuwa mtu wa kushinda nyumbani tu kwa wazazi, natamani kuwa na mpenzi anisaidie kuacha lakini kwa bahati mbaya sio wa kukubali kuwa na Mimi
Inaniumiza sana madhara makubwa niliyopata
1. Nimewahi kuzeeka
2. Nishaharibu mishipa ya fahamu nimekuwa mtu wa kujitenga na jamiii yaani niko kama mtu mwenye ugonjwa wa usonji
Najua humu kuna watu tofauti tofauti kama kuna mtu ambae atakuwa tayari kunisaidia hata kwa kunikutanisha na watalamu mimi nipo tayari
Mateso nayopitia ni makubwa sana, hapa nilipo sina uwezo wa kuongea na mtu nikaelewa yaani mishipa ya fahamu haiko vizuri kama imeleta tatzo hadi kwenye usikivu wa masikio
Ni hayo tu.
Vidonge vinaitwajeUchovu unao sababishwa na punyeto nauvulia kofia, yaan kuamka tu asubuhi n kimbembe unaweza stuka toka usingizin mapema tu, lakin kutoka kitandan ina weza kukuchukua lisaa ata na zaidi
Kifua kimejaa utadhan mtu mwenye nimonia kukimbia kidogo tu ulimi huo uko hoi kama mbwa, punyeto iliyo kithiri ni hatari sana
Madhara uliyo ainisha yapo na wengi tu yanawatokea ata kama sio wote(naona kuna wengine wanabisha) lakin jambo la msingi n kwamba unapona na kusahau kabisa.
Nenda pharmacy katafute vidonge vya vitamn vile vinauzwa kimoja buku kula mwez mzima, fanya mazoezi, tafuta mwana saikoloji akufanyie counseling uache na punyeto. Misosi pia jitahidi ule sana nafaka, nyanya chungu, matunda na mizizi ya bamia ukaushe uwe unatafuna tafuna tu for funny, utasahau ata kama ulishapata hayo madhara