Pure Germany Shepherd puppies nauza

Pure Germany Shepherd puppies nauza

Bei kubwa sana labda uwatafute wazungu ndio watamudu 800,000/= bei ya mbwa aina hiyo ni kati ya tsh 200,000/= hadi 300,000/=. mwisho.

Wewe inaonekana hujui bei ya mbwa, huwezi kupata aina ya mbwa hawa kwa laki tatu. Hawa wakifikisha miezi 3 wanafika 1,200,000.
 
  • Thanks
Reactions: mk4
enh 800,000/= mbwa!!? jamani ata ng'ombe zangu hawafikii hapo...
 
Ngongo niletee pure germany shepherd kwa hiyo bei...mm nitakupa pesa....unacomment wakati hauna knowlegde ya mbwa....kama hauna ela bora ukae kimya.....ingia kwenye mtandao wa google alafu ulizia bei ya mbwa aina ya germany shepherd pure....alafu rudi u comment......asante
 
Tatizo wabongo wengi hawajui bei za pure Germany shepherd ndio maana wanaropoka tu humu ndani,tunauza kwa bei ya million mara zote na watu wananunua sana tu,lamda siyo pure gremany shepherd ndio laki tano,yani kachanganya mbegu! Kwa pure hiyo ndio bei mkuu
 
Naona dalili za kuitana ndorobo sasa hivi?
unaandika lakini?
 
Pohamba,Albimany,master mind himself,stephot,emmanepoultryfarm,munisijo,ngongo,everlenk na jephta 2003....picture nimeweka na mm napatikana yombo makangarawe...Temeke...bei ni 800000
Hela hiyo.nanunua ng'ombe wa kilo 150 kwenda juu...
Mkuu hiyo bei sio...au hawa wakibweka dhahabu inatoka?
 
Mbwa kwa mm wana nilipa kuzidi ng'ombe unao sema....mm nakodisha mbwa kwenye makampuni mbali mbali kwa ajili ya ulinzi....na wana niingizia pesa per day....
 
Mkuu ni kweli wako mbwa wanauzwa bei mbaya tatizo ni huku kwetu hatuna utamaduni wa kupenda wanyama. Utusamehe kwa kukujazia sledi yako bureee
 
Tatizo wabongo wengi hawajui bei za pure Germany shepherd ndio maana wanaropoka tu humu ndani,tunauza kwa bei ya million mara zote na watu wananunua sana tu,lamda siyo pure gremany shepherd ndio laki tano,yani kachanganya mbegu! Kwa pure hiyo ndio bei mkuu

Watu wangekuwa wanannunua hao "germany shepherdy", "gremany shepherd" etc kwa millioni, asingehangaika kuweka bandiko mtandaoni.
 
Watu wangekuwa wanannunua hao "germany shepherdy", "gremany shepherd" etc kwa millioni, asingehangaika kuweka bandiko mtandaoni.

Kaka.....walikua kumi na mpaka sasa wapo wanne....na wote niliwauza kwa 800000....if you cant afford please ask us how to look for money for you to afford....germany shepherd ana kitu speacil na sizani kama unajua....
 
Watu wangekuwa wanannunua hao "germany shepherdy", "gremany shepherd" etc kwa millioni, asingehangaika kuweka bandiko mtandaoni.

Kama ni hivyo basi pombe ingekuwa haitangazwi kwenye magazeti na Internet
 
Kaka.....walikua kumi na mpaka sasa wapo wanne....na wote niliwauza kwa 800000....if you cant afford please ask us how to look for money for you to afford....germany shepherd ana kitu speacil na sizani kama unajua....

Una ushahidi gani kuwa hao mbwa ni purebred German Shepherd?
 
Kama ni hivyo basi pombe ingekuwa haitangazwi kwenye magazeti na Internet

Una pointi muhimu, ila sema tatizo hapa ni kwamba pombe quality, bei, utengenezaji, usambazaji, etc ni regulated na huwezi kujitengenezea Heineken, Konyagi, au Viroba kiholela nyumbani halafu ukaamua bei yako ya kuuza kwenye internet.
 
Back
Top Bottom