Mbona mama unajihami na hizo push ups?Yes, huwa nafanya mazoezi asubuhi mwishoni napiga pushups, mpaka sasa naweza kupiga saba tu na naishia kulala hapo hapo, duuuu
Aise ni push ups as push ups, don't misquote me
πΆSaafiii, usiache ibada ya jioni ni muhimu pia kwa usingizi mnono na njozi nofu.
Aahahahahaahahahahaa, ngoja Dadii akusikie.
Mimi napiga push up asubuhi huku mgongoni nimeweka familia yote yaani watoto wawili na mama yao.
Aseee tuko pamoja....asubuhi siwez oga bila kupiga kwanza push ups za kutosha.sijui kama itakuja kutokea kuacha kupiga angalau push ups 30 kama ninaafya njema sina ugojwa...
Kwakweli sijawai kumka kitandani nisipige Push ups
Tupoooooooh mam kubwa [emoji113]Wale wanaopiga morning glory wote mikono juu.
Yes, huwa nafanya mazoezi asubuhi mwishoni napiga pushups, mpaka sasa naweza kupiga saba tu na naishia kulala hapo hapo, duuuu
Aise ni push ups as push ups, don't misquote me