Putin akiri vikwazo kuanza kuiumiza Russia

Putin akiri vikwazo kuanza kuiumiza Russia

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Rais Vladmir Putin amekiri kwamba vikwazo vya nchi za Magharibi vilivyolenga kuinyima njaa Kremlin ya fedha kwa ajili ya uvamizi wake Ukraine vinaweza kuleta pigo kwa uchumi wa Urusi.

"Vizuizi visivyo halali vilivyowekwa kwa uchumi wa Urusi vinaweza kuwa na athari mbaya katika muda wa kati," Putin alisema katika hotuba ya televisheni iliyoripotiwa Jumatano na shirika la habari la serikali TASS.

-----
President Vladimir Putin has conceded that Western sanctions designed to starve the Kremlin of funds for its invasion of Ukraine could deal a blow to Russia’s economy.

“The illegitimate restrictions imposed on the Russian economy may indeed have a negative impact on it in the medium term,” Putin said in televised remarks Wednesday reported by state news agency TASS.

It is a rare admission by the Russian leader, who has repeatedly insisted that Russia’s economy remains resilient and that sanctions have hurt Western countries by driving up inflation and energy prices.

Putin said Russia’s economy had been growing since July, thanks in part to stronger ties with “countries of the East and South,” likely referring to China and some African countries. He also stressed the importance of domestic demand to the economy, saying it was becoming the leading driver of growth.

Russia’s economy has showed surprising resilience to unprecedented sanctions imposed by the West, including an EU ban on most imports of oil products. Preliminary estimates from the Russian government show that economic output shrank by 2.1% last year — a contraction more limited than many economists initially predicted.

Yet while China has thrown the Kremlin an economic lifeline by buying Russian energy and providing an alternative to the US dollar, cracks are starting to appear.

The Russian government’s revenue plunged 35% in January compared with a year ago, while expenditures jumped 59%, leading to a budget deficit of about 1,761 billion rubles ($23.3 billion).

The World Bank and the Organization for Economic Cooperation and Development are forecasting contractions of 3.3% and 5.6%, respectively, in 2023. The International Monetary Fund expects Russia’s growth to remain flat this year, but for the economy to shrink by at least 7% in the medium term.

In response to Russia’s aggression in Ukraine, Western countries have announced more than 11,300 sanctions since the February 2022 invasion, and frozen some $300 billion of Russia’s foreign reserves.

An outspoken Russian oligarch, Oleg Deripaska, said earlier this month that Russia could find itself with no money as soon as next year.

Separately, Austrian bank Raiffeisen Bank International said Thursday it was looking to sell or spin off its Russian business. In a statement, the bank called market conditions in the country “highly complex” and said it was “committing to further reducing business activity” there.

Raiffeisenbank Russia made just over $2 billion in profit last year. But due to strict local rules, Raiffeisen is unable to take any profits from its Russian business out of the country.

Source: https://edition.cnn.com/2023/03/30/economy/putin-russia-sanctions/index.html
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
 
Kibabu kipiga nyeto kimeamua kufunguka..akaze matako tu
Kweli kabisa , kamebakiza hapo nguvu ya kusukuma mavi na kufunga diaper tuu , maana mavi yanagonga chupi tuu.
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Kisichokuu kinakukomaza,kwa wao watakua wapo kwenye plan b,wametafuta mbinu mbadala
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Nasikia kama Marekani wenyewe ndiyo wapo hoi kabisa. Kuna taarufa nilisoma kuwa karibu raia milioni 112 wa Marekani wameikimbia nchi hiyo kutokana na madhara ya vikwazo waliyomuwekea Putini amnavyo hivi sasa vinaiumiza nchi yao.

Wasijue kuwa mwenzao alikua anadekishia tu, kumbe ana mihela kibao ilikua imefichwa undeeground kwenye makambi ya kojeshi. Pia, alishanunua vitu kibao tu, na Makomandoo wa Urusi wakishirikiana na wanajeshi wengine wanaendelea kutengeneza vitu na kugawia wananchi wa Urusi.
Hata Makamu wao wa rais bado kidogo juzi ashindwe kuondoka nchini baada ya ile ndege yake kuishiwa mafuta. Kama siyo roho nzuri ya mama Samia basi asingeondoka ile juzi, sema akaagiza makomandoo wa Tanzania waiwekee mafuta.

Putini ni noma sana.
 
Anawachora tu.
JamiiForums265298599.jpg
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
West walikuwa wanajua wata struggle kwa muda lakini wakawa wanafanya other alternatives na tayari wameanza kukaa sawa wenywe, hakuna tena kwa ulaya anategemea gas ya urusi wala mafuta mambo yanaenda issue ipo kwa babu yako putin
 
Rais Vladmir Putin amekiri kwamba vikwazo vya nchi za Magharibi vilivyolenga kuinyima njaa Kremlin ya fedha kwa ajili ya uvamizi wake Ukraine vinaweza kuleta pigo kwa uchumi wa Urusi.

"Vizuizi visivyo halali vilivyowekwa kwa uchumi wa Urusi vinaweza kuwa na athari mbaya katika muda wa kati," Putin alisema katika hotuba ya televisheni iliyoripotiwa Jumatano na shirika la habari la serikali TASS.

-----
President Vladimir Putin has conceded that Western sanctions designed to starve the Kremlin of funds for its invasion of Ukraine could deal a blow to Russia’s economy.

“The illegitimate restrictions imposed on the Russian economy may indeed have a negative impact on it in the medium term,” Putin said in televised remarks Wednesday reported by state news agency TASS.

It is a rare admission by the Russian leader, who has repeatedly insisted that Russia’s economy remains resilient and that sanctions have hurt Western countries by driving up inflation and energy prices.

Putin said Russia’s economy had been growing since July, thanks in part to stronger ties with “countries of the East and South,” likely referring to China and some African countries. He also stressed the importance of domestic demand to the economy, saying it was becoming the leading driver of growth.

Russia’s economy has showed surprising resilience to unprecedented sanctions imposed by the West, including an EU ban on most imports of oil products. Preliminary estimates from the Russian government show that economic output shrank by 2.1% last year — a contraction more limited than many economists initially predicted.

Yet while China has thrown the Kremlin an economic lifeline by buying Russian energy and providing an alternative to the US dollar, cracks are starting to appear.

The Russian government’s revenue plunged 35% in January compared with a year ago, while expenditures jumped 59%, leading to a budget deficit of about 1,761 billion rubles ($23.3 billion).

The World Bank and the Organization for Economic Cooperation and Development are forecasting contractions of 3.3% and 5.6%, respectively, in 2023. The International Monetary Fund expects Russia’s growth to remain flat this year, but for the economy to shrink by at least 7% in the medium term.

In response to Russia’s aggression in Ukraine, Western countries have announced more than 11,300 sanctions since the February 2022 invasion, and frozen some $300 billion of Russia’s foreign reserves.

An outspoken Russian oligarch, Oleg Deripaska, said earlier this month that Russia could find itself with no money as soon as next year.

Separately, Austrian bank Raiffeisen Bank International said Thursday it was looking to sell or spin off its Russian business. In a statement, the bank called market conditions in the country “highly complex” and said it was “committing to further reducing business activity” there.

Raiffeisenbank Russia made just over $2 billion in profit last year. But due to strict local rules, Raiffeisen is unable to take any profits from its Russian business out of the country.

Source: https://edition.cnn.com/2023/03/30/economy/putin-russia-sanctions/index.html
choka mbaya putin
 
Hivi hata kwa akili yako ya darasa la 7 ,wewe kama Rais wa Nchi ambayo Nchi yako inafanya operations katk Nchi Fulani unaweza kuwaambia hivyo RAIA wako?
 
Nasikia kama Marekani wenyewe ndiyo wapo hoi kabisa. Kuna taarufa nilisoma kuwa karibu raia milioni 112 wa Marekani wameikimbia nchi hiyo kutokana na madhara ya vikwazo waliyomuwekea Putini amnavyo hivi sasa vinaiumiza nchi yao.

Wasijue kuwa mwenzao alikua anadekishia tu, kumbe ana mihela kibao ilikua imefichwa undeeground kwenye makambi ya kojeshi. Pia, alishanunua vitu kibao tu, na Makomandoo wa Urusi wakishirikiana na wanajeshi wengine wanaendelea kutengeneza vitu na kugawia wananchi wa Urusi.
Hata Makamu wao wa rais bado kidogo juzi ashindwe kuondoka nchini baada ya ile ndege yake kuishiwa mafuta. Kama siyo roho nzuri ya mama Samia basi asingeondoka ile juzi, sema akaagiza makomandoo wa Tanzania waiwekee mafuta.

Putini ni noma sana.
Mnaambiwa muache bangi hamtaki kusikia ona sasa akili ilivyopotea..!!
 
Back
Top Bottom