Putin akiri vikwazo kuanza kuiumiza Russia

Putin akiri vikwazo kuanza kuiumiza Russia

Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Mahaba niue duh, Mama Samia ana kazi jamani
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Urussi ni jinchi kubwa lenye rasilimali nyingi.
Ni kubwa mara nne zaidi ya ulaya yote.
Kwa hiyo to deal with Russia ni changamoto sana.
ILA MWISHOWE URUSSI KALEGEZWA speed ya vita imekuwa ndogo
 
Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako

Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Wenye mwaka lazima washachukua hatua , huyu mgeni wa maumivu ya vikwanzo litakua jambo endelevu kwake hadipale ,vita itakoma
 
Back
Top Bottom