Siku hizi JF inawatu wajinga sana, imekuwa kama FB tu..Kweli kabisa , kamebakiza hapo nguvu ya kusukuma mavi na kufunga diaper tuu , maana mavi yanagonga chupi tuu.
Mahaba niue duh, Mama Samia ana kazi jamaniWakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako
Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Urussi ni jinchi kubwa lenye rasilimali nyingi.Wakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako
Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni
Wenye mwaka lazima washachukua hatua , huyu mgeni wa maumivu ya vikwanzo litakua jambo endelevu kwake hadipale ,vita itakomaWakati waweka vikwazo wameumia kwa mwaka mzima nyuma kwa sababu ya vikwazo hivyo ila aliyrewekewa vikwazo ndo anaanza kuona kuwa vitamuumiza huko aendako
Swali ni je hao wenye mwaka wakiumia watakuwa na hali gani baada ya kuumia anayehisi ataumia mbeleni