Sasa hapo unamaanisha nini ? Nini kilisibu USA made HIMARS kugeuka nyuzi 360 na kwenda kushambulia majenerali wa Ukraine tena badala ya wakuu wa jeshi la wanamaji wa jeshi la Urusi - ndio maana muda wote nakwambiaga unapenda penda sana kukurupuka bila ya kitafakali mambo kiundani, tunacho juwa sisi kati ya makombora matano yaliyo kuwa launched manne yalikuwa intercepted moja nalo lilipigwa lakini mabaki yake yakaishia kuharibu jengo - hapakuwepo mkutano wa wakuu wa jeshi la wanamaji katika area hizo - hizo ni propaganda za site ya .com.au pamoja na paid troll wao MK-254, ulaghai mtupu, mpaka sasa hawaja komboa chochote zaidiya propaganda za motandaoni.