Putin aliwahi kukejeli counteroffessive kwamba imefeli, leo amehaha na kuamrisha izuiwe

Putin aliwahi kukejeli counteroffessive kwamba imefeli, leo amehaha na kuamrisha izuiwe

Sasa hapo unamaanisha nini ? Nini kilisibu USA made HIMARS kugeuka nyuzi 360 na kwenda kushambulia majenerali wa Ukraine tena badala ya wakuu wa jeshi la wanamaji wa jeshi la Urusi - ndio maana muda wote nakwambiaga unapenda penda sana kukurupuka bila ya kitafakali mambo kiundani, tunacho juwa sisi kati ya makombora matano yaliyo kuwa launched manne yalikuwa intercepted moja nalo lilipigwa lakini mabaki yake yakaishia kuharibu jengo - hapakuwepo mkutano wa wakuu wa jeshi la wanamaji katika area hizo - hizo ni propaganda za site ya .com.au pamoja na paid troll wao MK-254, ulaghai mtupu, mpaka sasa hawaja komboa chochote zaidiya propaganda za motandaoni.
fikiri ulichokuw unasema feb 2022
 
fikiri ulichokuw unasema feb 2022
Makadilio ya Calculations za vita ya siku tatu yanaelekea mwaka wa pili sasa na tumeshavusha victory days kama mbili na ukomo hauonekani insight matokeo yake mbabe eti ndiye anaenda UN ili kutafuta peace talks
 
Ubaya wa tule nato kanapiga jengo kanaharibu dirisha tu. Hata meza na viti vilivyondani ja chumba husika havihami zaidi ya kupeperusha mafaili
Ukishalishwa Propaganda hata ukiwekewa kimba a.k.a kinyesi kwenye sahani,wakakuambia chakula,,kwa sababu umewaamini utakula tu,hilo ndilo tatizo la kulishwa propaganda.Kwa akili ya kawaida malengo ya Putin wakati anaanza Special ops na kinachoendelea sasa hivi ,ni mbingu na ardhi.Putin kaingizwa mtegoni na wapambe wake kama wewe .Anashindwa kujiondoa Ukraine sababu atachekwa.Sasa anakufa na tai shingoni. Endelea kumuamini Andunje ,wewe Prorussian,mrusi toka Buza 🤔
 
Back
Top Bottom