Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Putin anaendelea kumtafuta mchawi wake huku ikiwa tayari ametangaza kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa Wagner kwa uhaini walioufanya.
Hivi sasa ameagiza mamlaka husika kuanza kuwafanyia uchunguzi Wagner group kwenye matumizi yao ya pesa.
Kwa kuangalia hela walizo lipwa na matumizi yao
Hivi sasa ameagiza mamlaka husika kuanza kuwafanyia uchunguzi Wagner group kwenye matumizi yao ya pesa.
Kwa kuangalia hela walizo lipwa na matumizi yao