Wazee wa 'qauntity matters not quality',... ukiisoma post ya Kichuguu hapo juu anaeleza jeshi la Russia ni la maafisa zaidi so kuwa jenerali Russia ni kawaida sana tofauti na nchi nyingine. That means, jenerali kuwa front line hence high risk ya kuuwawa ni kawaida.
... Ha ha ha! Umenikumbusha midahalo ya enzi hizo F2B Vs F2A; enzi zile ukichaguliwa government una "bahati kubwa".Wazee wa 'qauntity matters not quality',
Ndio maana wana mavifaru mengi ila duni tu kwa sasa yamegeuka uchafu)vyuma chakavu hapo Ukraine
Watakuambia ni propagandaView attachment 2251853
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepata pigo baada ya kumpoteza jenerali wa 11 katika mapambano dhidi ya Ukraine, aliyefariki ni Meja Jenerali Roman Kutuzov.
Inaelezwa gari lake lilishambuliwa wakati wa mapigano katika Mji wa Donbas. Kinatajwa kuwa kifo cha juu zaidi kwa waliofariki katika mapigano dhidi ya Ukraine, hivi karibuni.
Source: Daily Maily
===============
Vladimir Putin 'loses his 11th general' in Ukraine war as defenders 'ambush his vehicle in Donbas'
Vladimir Putin was today hit by the death of Russia’s 11th general in his bloody war with Ukraine.
Major-General Roman Kutuzov was the chief of staff of the 29th Combined Arms Army, according to reports.
His vehicle was ambushed by Ukrainians and he died in a fight in Donbas, say sources.
His death is the 11th general, but the first such high ranking army officer in more than a month.
In addition, at least 49 colonels have been killed in the war with Ukraine.
The latest was Lt-Col Zaur Dimayev, deputy commander of the 4th battalion of the Akhmat Kadyrov special forces regiment.
He was a close associate of Chechen leader Ramzan Kadyrov.
In 2020, Kutuzov was head of the headquarters of the combined arms formation of Russia’s sprawling Eastern Military District.
The previous general to be killed was Kanamat ’Flop Gun’ Botashev, 63.
He was a 'pensioner pilot' who was hit in his Su-25 after coming out of retirement to fly in Putin’s forces.
He was reportedly shot down by a Ukrainian Stinger missile.
There have been unconfirmed claims that Western countries are assisting Ukraine to target high-ranking Russian officers.
Russian sources say Kutuzov was killed in the area of Nikolaevka settlement, in the Popasnyansky district of the Luhansk People’s Republic, close to the frontline.
Hajui,Unajua Gharama ya kumtrain mtu mwenye sifa kama huyo au unabwabwaja tuu, ni aheli upoteze Askari 1000 kuliko kumpoteza mtu kama huyo
Mkuu wewe mambo ya vita kama hivi hujui lolote., unaambiwa mpaka vita inaisha kwa tabu nchi hupoteza jeneral 1 au 2 hivi sio kwa idadi hiyo ya Russia, ukiona hivyo ujue Putini ni mweupeNdio maana ya ushujaa Jenerali kufa kwenye vita, sio wale majenerali wa Ukraine wanawaamrisha kurutu kukaa mstari wa mbele thn wao wanakaa na phone tu, ndio maana majeshi wengi wa Ukraine kabla ya kuacha mapigano walilalamika kuwa wanapelekwa kwenye vita wakati makamanda wao hawapo ndani ya nchi wanakimbia
Huyu ni shujaa
Hata hayo masilaha yake nina mashaka nayo. Russia ni jina tu.... nina mashaka sana na wanaoitwa majenerali huko Russia! Are they really generals in the actual context of the title? Kuna walakini mkubwa.
Mi kila siku nawaambia US kashajua jamaa ni overated ndio maana hata hasikii mikwala yake,Mkuu wewe mambo ya vita kama hivi hujui lolote., unaambiwa mpaka vita inaisha kwa tabu nchi hupoteza jeneral 1 au 2 hivi sio kwa idadi hiyo ya Russia, ukiona hivyo ujue Putini ni mweupe
jeshi la urusi ni kubwa wapo four stars generals wengi hivyo siyo ajabu kwa major general au lieutenant general kupiganisha vita
... Mzee Putin bado yupo kwenye ndoto za Perestroika - Wikipedia.Hata hayo masilaha yake nina mashaka nayo. Russia ni jina tu.
Ukiondoa hayo masilaha ya nyuklia, hana kipya kabisa.Hata hayo masilaha yake nina mashaka nayo. Russia ni jina tu.
... kwa hiyo unachotuambia hapa ni kwamba Major General au Lieutenant General wa Russia ni sawa na Captain au Major kwa majeshi mengine? Highest rank ya jeshi la Russia in ipi? By the way, majeshi mengi wanaoongoza vikosi frontline ni Sergeants.jeshi la urusi ni kubwa wapo four stars generals wengi hivyo siyo ajabu kwa major general au lieutenant general kupiganisha vita
nilitaka kukukumbusha tu maafisa wa juu katika jeshi la Russia ni wengi, lakini jibu umeshajibiwa huko juu USA wanawaasist sana waukraine kuwasaka na kuwalenga maafisa wa ngazi za juu ili kushusha morali ya wapiganaji wa urusi... kwa hiyo unachotuambia hapa ni kwamba Major General au Lieutenant General wa Russia ni sawa na Captain au Major kwa majeshi mengine? Highest rank ya jeshi la Russia in ipi? By the way, majeshi mengi wanaoongoza vikosi frontline ni Sergeants.
Na hili la ufisadi na kujuana, mashabiki wa putin hawaligusii kabisa.Ukiondoa hayo masilaha ya nyuklia, hana kipya kabisa.
Urusi ilirithi rasilimali nyingi sana baada ya kuvunjika Ussr ila imeshindwa kujiendeleza, badala yake mafisadi wachache (oligarchs) wamejinufaisha.
Hivyo ndivyo akili zenu zilivyo??[emoji1787][emoji23]kwamba bora upoteze askari 1000 kuliko mtu mmoja, kweli Putin kawashika kisawasawaUnajua Gharama ya kumtrain mtu mwenye sifa kama huyo au unabwabwaja tuu, ni aheli upoteze Askari 1000 kuliko kumpoteza mtu kama huyo
Kalee watoto, acha mihemuko dada, yaani nyinyi mnasumbuliwa sana na hii vita kuanzia kiakili mpaka mnabaki kutoa mapovu[emoji23]Mkuu wewe mambo ya vita kama hivi hujui lolote., unaambiwa mpaka vita inaisha kwa tabu nchi hupoteza jeneral 1 au 2 hivi sio kwa idadi hiyo ya Russia, ukiona hivyo ujue Putini ni mweupe
Majenerali wa Urusi huwa wanaenda kusisitiza maagizo waliyopewa. Jeshi lao halina delegation of power kubwa na maofisa wa chini hawaaminiwi sana hivyo wanapenda kutumia management by walking around.
Bora ww ameijibu kitaalamu siyo iyoo Tu ata vita ya Kagera general Mboma alienda vitani kabisa kuwa na general vitani tna Kwa Russia ambayo mataifa makubwa wanamikono Yao bila ma general kwenda nii rahisi kuhujumiwa na Askari WA kawaida kukataa kusonga mbele au kuona kama wanatumika na viongozi WA juu kuwa na general vitani japo yeye haongozi mapigano Ila hutoa miongozo na kuwapa Askari morali zaidi na kuhakikisha logistics zote zinafika Kwa welediMajenerali wa Urusi huwa wanaenda kusisitiza maagizo waliyopewa. Jeshi lao halina delegation of power kubwa na maofisa wa chini hawaaminiwi sana hivyo wanapenda kutumia management by walking around.
Hii ni dalili ya kuwa na maofisa wa chini wasiojitosheleza kwa uwezo. Na ni dalili ya kuwa objectives hazifikiwi kwa uhakika hivyo kamanda wa juu anaenda mwenyewe kujaribu kuweka mambo sawa.