Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Mke walitalakiana, labda ana girlfriend......jamaa mtata kiaina.Nasikia mwamba hana mke KITAMBO Sana. Sasa sijui anaishije. Au wazungubkuwa na mke siobissue Sana!
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
Msioamini hawa ni makomredi wa vita. Kama ulibahatika kuona ile picha putin akiwa kijana mdogo mkufunzi wa wapigania uhuru bagamoyo utamuona putin, samora machel, na huyu rais wa sasa wa zimbabwe.Rais Putin wa Russia amzawadia Chopa Rais wa Zimbabwe na kuahidi makubwa kwa Rafiki zake waliohudhuria mkutano Tanzania ikiwemo
Source: BBC
Bora waende hukohuko maana hao wageni wakija kwetu tusio husika tunakuwa wafungwa barabarani,Hivi ni lazima sisi ndio twende kwao? Sometime waje Africa na wao sio Kila mwaka sisi ndio viguu na njia
Sio mbaya...View attachment 2700842
Rais wa Urusi Vladimir Putin amemzawadia mwenzake wa Zimbabwe helikopta ya Rais, kwa mujibu wa wizara ya habari ya Zimbabwe.
Zawadi hiyo itatolewa hivi karibuni, taarifa hiyo iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii imesema.
Rais Emmerson Mnangagwa anahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Urusi na Afrika huko St Petersburg pamoja na viongozi wengine wa Afrika.
Urusi pia iliahidi kutoa Ngano bure kwa Zimbabwe na nchi nyingine tano za Afrika.
Zimbabwe ina uhusiano wa muda mrefu na Urusi kuanzia vita vya ukombozi dhidi ya utawala wa wazungu wachache.
Ni miongoni mwa nchi za Kiafrika ambazo zimeshikilia msimamo wa kutoegemea upande wowote katika vita vya Ukraine, zikikataa kulaani Urusi kwa uvamizi huo.
Hv ushawai kujiuliza kwanini mke ndio anamfuata mume wakaishi wote nyumban kwakeHivi ni lazima sisi ndio twende kwao? Sometime waje Africa na wao sio Kila mwaka sisi ndio viguu na njia
UpuuziView attachment 2700842
Rais wa Urusi Vladimir Putin amemzawadia mwenzake wa Zimbabwe helikopta ya Rais, kwa mujibu wa wizara ya habari ya Zimbabwe.
Zawadi hiyo itatolewa hivi karibuni, taarifa hiyo iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii imesema.
Rais Emmerson Mnangagwa anahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Urusi na Afrika huko St Petersburg pamoja na viongozi wengine wa Afrika.
Urusi pia iliahidi kutoa Ngano bure kwa Zimbabwe na nchi nyingine tano za Afrika.
Zimbabwe ina uhusiano wa muda mrefu na Urusi kuanzia vita vya ukombozi dhidi ya utawala wa wazungu wachache.
Ni miongoni mwa nchi za Kiafrika ambazo zimeshikilia msimamo wa kutoegemea upande wowote katika vita vya Ukraine, zikikataa kulaani Urusi kwa uvamizi huo.
US wanakulisha wewe na familia yako. Mimi siwezi kulishwa na Mashoga. Eti ARV waache walete hizo ARV hata ukimwi walileta wao. US ni mbwa kabisa hawana ubinadamu wowote nawafahamu kuliko unavyowafahamu. Warusi ni binadamu zaidi tu kuliko mashoga wenzio hao.Madikteta yanapeana vizawadi ghafla yamekuwa binadamu kuliko wanaoilisha familia yako ARVs angalau isogeze siku? Think twice.
Huna akili sio kosa lakoUpuuzi kwako kwakuwa unawapenda mashoga US.
Akili ninazo sana tu. Warusi wako kuwanyoosha mashoga duniani.Huna akili sio kosa lako
Majirani zake wanatumiwa na US na NATOYani huyu Russia anajifanya mwema sana kwa watu wa mbali huku Africa huku ameshindwa kuelewana na majirani zake pale Ukrain
Umesahau wakijaga wanajikatia mapori na wanyama wakeBora waende hukohuko maana hao wageni wakija kwetu tusio husika tunakuwa wafungwa barabarani,
Pia huyo jamaa akija kwako inakulazimisha umkamate hivyo unaibua ugomvi Kati ya icc au Russia wenyewe.
Uongo,Msioamini hawa ni makomredi wa vita. Kama ulibahatika kuona ile picha putin akiwa kijana mdogo mkufunzi wa wapigania uhuru bagamoyo utamuona putin, samora machel, na huyu rais wa sasa wa zimbabwe.
Hawa ni mbuzi tu , wanaswagwa tu na mtandao🤣,Uongo,
Putin hajawahi kufika Tanzania
Hata kupewa ngano ni aibu kubwa kwa hayo mataifa na kwa Afrika nzima, yaani hatuwezi hata kujilisha!!!We umeona hio tu helicopter..habar ya ngano kwa mataifa 6 ya africa hujaona?