YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ulishaona shirika la misaada la urusi popote Afrika ikiwemo Tanzania?Warusi ni binadamu sana kuliko NATO na US.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishaona shirika la misaada la urusi popote Afrika ikiwemo Tanzania?Warusi ni binadamu sana kuliko NATO na US.
Wanaleta ngano iliyowadodea sababu ya vikwazo vya kibiasharaHata kupewa ngano ni aibu kubwa kwa hayo mataifa na kwa Afrika nzima, yaani hatuwezi hata kujilisha!!!
Kwa taarifa yako silaha zetu zote ni kutoka Urusi na China. Hivyo Warusi na China ndio marafiki wa kweli kwa nchi yetu achana na hao mashoga US na NATO misaada yao ni ya kuendeleza ushoga tu.Ulishaona shirika la misaada la urusi popote Afrika ikiwemo Tanzania?
Kwa taarifa yako silaha zetu zote ni kutoka Urusi na China. Hivyo Warusi na China ndio marafiki wa kweli kwa nchi yetu achana na hao mashoga US na NATO misaada yao ni ya kuendeleza ushoga tu.
Haya tuambie silaha zetu tunapata wapi?UONGO