Putin anusurika jaribio la mauaji

Putin anusurika jaribio la mauaji

Media za west zina-exaggerate sana.
Ni kawaida hiyo katika vita mkuu. Kila mtu anapiga propaganda zake. Ushindwe kwenye uwanja wa vita na kwenye media nako ushindwe? Kha!
 

Attachments

  • 5fff00711fa76c8cf2c0c70f6c6e9e29.jpg
    5fff00711fa76c8cf2c0c70f6c6e9e29.jpg
    70.6 KB · Views: 2
aseee sikudhania mtu kama wewe naye utakuwa na uelewa hafifu.
Darasa la 7D mimi nitaachaje kuwa na uelewa hafifu mkuu na elimu yetu hii ya shida isiyotufundisha kufikiri kwa kina na kuchambua mambo critically. Nyinyi wenye welewa mpana ndiyo muwe mnatufafanulia mambo sasa ili na sisi tuelewe. Msiishie tu kutucheka! 😁😁😁😁
 
Jamaa anaishi maisha magumu sana, anasakwa kwa kila namna, wamekamatwa hadi walinzi wake wa karibu baada ya jaribio la kumuua...

=======

Vladimir Putin has survived an assassination attempt while in his limousine, it has been claimed.

The Russian president is said to have been targeted when ‘a loud bang sounded from the left front wheel’ before ‘heavy smoke’ billowed out.

According to the anti-Kremlin Telegram channel General SVR, Putin was travelling in the third car of a five-vehicle convoy on an unknown day.

The post read: ‘The first escort car was blocked by an ambulance and the second escort car drove around without stopping because of the sudden obstacle.’

It was allegedly during this detour that the explosive noise was heard.

Sources say Putin’s driver had problems with control but managed to keep driving without stopping and get him home unharmed.

The Kremlin has since arrested multiple people, including several of Putin’s bodyguards, according to the Telegram channel.


Mbona mnakazania sana kutangaza jaribio la kutaka kumutoa pumzi Putin, conveniently avoiding to mention about the accident yenye utata mkubwa iliyo muhusu Zelensky hivi karibuni, mpo kimya kabisa - kazi yenu ni ku-waste mega calories talking about Putin - Putin,Putin 24X7!!! Source?? metro.co.uk - who knows kesho mtatujia na Mickey Mouse storis zipi, si ajabu mkasema madaktari wa US/UK wamedokezwa na CIA,FBI na MI6 kwamba kumbe Putin ni Alien ndio maana moyo wake hupo upande wa kulia sio upande wa kushoto kama binadamu wengi tulivyo umbwa,halafu mkategemea kwamba watu walio na akili timamu wanaweza kuchotwa akili kivile.
 
Mbona mnakazania sana kutangaza jaribio la kutaka kumutoa pumzi Putin, conveniently avoiding to mention about the accident yenye utata mkubwa iliyo muhusu Zelensky hivi karibuni, mpo kimya kabisa - kazi yenu ni ku-waste mega calories talking about Putin - Putin,Putin 24X7!!! Source?? metro.co.uk - who knows kesho mtatujia na Mickey Mouse storis zipi, si ajabu mkasema madaktari wa US/UK wamedokezwa na CIA,FBI na MI6 kwamba kumbe Putin ni Alien ndio maana moyo wake hupo upande wa kulia sio upande wa kushoto kama binadamu wengi tulivyo umbwa,halafu mkategemea kwamba watu walio na akili timamu wanaweza kuchotwa akili kivile.

Ajali ni tofauti na jaribio la kuuawa kwa supapawa president, inashangaza sana sasa rais wa supapawa kwenye nchi yake anaishi maisha ya tabu ya kujificha ficha kama kibaka....
 
Ajali ni tofauti na jaribio la kuuawa kwa supapawa president, inashangaza sana sasa rais wa supapawa kwenye nchi yake anaishi maisha ya tabu ya kujificha ficha kama kibaka....

Wakati mwingine usiwe unakuwa overly driven na rabid hatred yako kumuhusu Putin - mpaka unafikia hatua ya kutoa comments zinazo shangaza kidogo, hivi inaingia akilini kwamba ajali haiwezi kutumika kumtoa pumzi mkuu wa nchi, sasa sijui kama unayasema haya kimakusudi au?? Badala ya kuleta taarifa zilizo nyooka wewe una kawaida ya kuongeza madolido na mbwembwe zisizo kuwa na mantiki kabisa - yaani wasomaji wakilinganisha maelezo yako na kile kilicho andikwa na source ya information ni vitu viwili tofauti kabisa-taarifa zako ziko highly sensationalised sijui uwa unalenga ku-achieve nini?

Sasa tuje kwenye suala la political assassination - hivi una habari ni taifa lipi Duniani linaongoza kwa ku-assassinate marais wao walio chaguliwa na raia wao kidemokrasia, hapo hatuja gusia attempt zilizo wahi kufanywa kujaribu kuwauuwa ma Rais Gerard Ford, Reagan etc.

Hapa unazungumzia kwamba Putin atakuwa anaishi kwa wasi wasi mkubwa - here again, your sensational traits comes shinning brighter than Chrismas tree!! Hivi hapa Duniani kuna Rais anaye ishi kwa wasi wasi mkubwa mpaka analindwa na wanajeshi,wapelekezi na electronic systems 24X7X365 kama rais wa Merikani, hakuna!! Sasa inakuwaje a land of free na yenye kujali sana demokrasia na uhuru wa kila mtu afanye apendalo at any time - lakini Taifa hilo hilo haliamni Rais wao kujichanganya na raia wake freely - leo hii wewe ndio unataka kuizuga Dunia kwamba Rais Putin anaishi kama digi digi, chuki zako binafsi zisikutoe ufahamu kabisa - umesahau kwamba watu wana akili timamu ya kujua kinacho endelea huko Ukraine - hivyo hawataki kusikiliza habari zilizo kolezwa chumvi na nyingine za kutunga mkifikiri kampein/propaganda zenu zitamsaidia Zelensky kushinda vita.

Zelensky hasijifanye kutuniana misuli na super power - akae chini akubali kushindwa ili wamalize tofauti zao na Putin kistaarabu, after all Waukraine na Warusi ni ndugu, wasikubali kuchonganishwa na mataifa ya magharibi yenye ajenda zao za siri kuhusu Taifa la Urusi, Ukraine inatumiwa tu na NATO specifically US ili kujaribu kufanikisha malengo yao ya siri dhidi ya Urusi.
 
Wakati mwingine usiwe unakuwa overly driven na rabid hatred yako kumuhusu Putin - mpaka unafikia hatua ya kutoa comments zinazo shangaza kidogo, hivi inaingia akilini kwamba ajali haiwezi kutumika kumtoa pumzi mkuu wa nchi, sasa sijui kama unayasema haya kimakusudi au?? Badala ya kuleta taarifa zilizo nyooka wewe una kawaida ya kuongeza madolido na mbwembwe zisizo kuwa na mantiki kabisa - yaani wasomaji wakilinganisha maelezo yako na kile kilicho andikwa na source ya information ni vitu viwili tofauti kabisa-taarifa zako ziko highly sensationalised sijui uwa unalenga ku-achieve nini?

Sasa tuje kwenye suala la political assassination - hivi una habari ni taifa lipi Duniani linaongoza kwa ku-assassinate marais wao walio chaguliwa na raia wao kidemokrasia, hapo hatuja gusia attempt zilizo wahi kufanywa kujaribu kuwauuwa ma Rais Gerard Ford, Reagan etc.

Hapa unazungumzia kwamba Putin atakuwa anaishi kwa wasi wasi mkubwa - here again, your sensational traits comes shinning brighter than Chrismas tree!! Hivi hapa Duniani kuna Rais anaye ishi kwa wasi wasi mkubwa mpaka analindwa na wanajeshi,wapelekezi na electronic systems 24X7X365 kama rais wa Merikani, hakuna!! Sasa inakuwaje a land of free na yenye kujali sana demokrasia na uhuru wa kila mtu afanye apendalo at any time - lakini Taifa hilo hilo haliamni Rais wao kujichanganya na raia wake freely - leo hii wewe ndio unataka kuizuga Dunia kwamba Rais Putin anaishi kama digi digi, chuki zako binafsi zisikutoe ufahamu kabisa - umesahau kwamba watu wana akili timamu ya kujua kinacho endelea huko Ukraine - hivyo hawataki kusikiliza habari zilizo kolezwa chumvi na nyingine za kutunga mkifikiri kampein/propaganda zenu zitamsaidia Zelensky kushinda vita.

Zelensky hasijifanye kutuniana misuli na super power - akae chini akubali kushindwa ili wamalize tofauti zao na Putin kistaarabu, after all Waukraine na Warusi ni ndugu, wasikubali kuchonganishwa na mataifa ya magharibi yenye ajenda zao za siri kuhusu Taifa la Urusi, Ukraine inatumiwa tu na NATO specifically US ili kujaribu kufanikisha malengo yao ya siri dhidi ya Urusi.

Mbona unateseka kaka na kuandika liinsha lote hili? Putin amekoswa koswa kuuawa mara saba sasa ukihesabu na hii ya juzi, halafu huyu Putin mnayemuabudu nilikua sina issue naye, nilikua napenda sana uongozi wake, ila kwa huu udhulumaji amefanya kwa kuingilia ka-nchi jirani kwa mabomu na kusambaratisha nyumba za watu, nimemchukia na naomba liuawe life kabisa na maiti yake iliwe na wadudu na hao wadudu waliwe na ndege wa angani na hao ndege walengwe shabaha wauawe...yaani afe kifo kibovu sana yule mpumbavu.

Juzi kapiga bwawa la maji mabomu kusudi tu awatese watu....

Zelensky ni shujaa, mumeshindwa kumfanya lolote leo mumejawa na hasira tu.
 
Ili dunia iwe salama,basi urusi inatakiwa iwe strong zaidi. Otherwise mtaonewa sana hasa nyie wa shithole countries.
ili awe anavamia bila kuwashirikisha wakubwa wenzie ? Urusi kuwa superpower aichukui miaka 50 bila WW2 maana Urusi wanaamini kwenye mabav zaid
 
Back
Top Bottom