5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,275
- 2,410
Unapomtaja na kumuongelea Putin kwanza ufahamu kwamba huyo ni dikteta aliyekubuhu, anapenda madaraka katika maisha yake yote, ni kiongozi muongo, ni kiongozi muoga, ni kiongozi ambaye kabla kuivamia Ukraine alipata ushawishi mkubwa toka kwa China na North Korea lakini kwa sababu ali-miscalculate ile vita sasa ndio yanamkuta yanayomkumkuta.Watu wengine bwana!!Sasa mbona USA na NATO ndio wanampigia magoti Putin kwamba waanzishe mazungumzo ya kupunguza silaha za nuclear na kuruhusu wataalamu wa masuala ya silaha za nuklia kutembeleana kuchunguza viwanda vinavyo unda silaha za Nuclear lakini naona this time Jemedari Putin kawakatalia kata kata, hataki tena mambo ya kipuuzi na ulaghai wa USA, Putin amekwisha kata shauri kwamba na liwalo liwe.
Sasa swali ni: haya mambo ya USA/Biden kujiona wao zaidi kijeshi Duniani si waende zao na kuanza kumtunia misuli Putin for a duel ili Dunia ione nani zaidi na ni nani ni paper tiger - kwa nini kwa mfano: Biden anafanya a u-turn na kuona kumbe kuna umuhimu wa USA kuelewana kwanza na Warusi kuhusu masuala ya silaha za maangamizi kuliko US administration na NATO kijifanya ni CHIMERA wa Dunia ie wao zaidi na wana uwezo mkubwa wa kumshinda Putin kwenye vita inayo endelea huko Ukraine, huku Dunia ikijua wazi wazi kwamba mchochezi na mwanzilishi wa vita hii ni Wamerikani wenyewe lakini wanamsingizia Putin kwa kuwa aliwawahi by pre emptive strike kabla hawajafanya madhala makubwa kwenye majimbo ya Ukraine mashariki ikiwemo Crimea. Walitayarishwa Ukraine troops, Polish troops na some NATO troops kudjambulia kwa nguvu na silaha kubwa kubwa na ndege na choppers lengo likiwa ni kuwauuwa raia wote wa Ukraine wenye asili ya Urusi, kukomboa mikoa mashariki ikiwemo Crimea Operation hii ilikuwa babu kubwa ikisimamiwa na majereli wa Kimerikani na UK laki kama nilivyo sema tangu mwanzo Warusi walipata taarifa za kiitelijesia mapema wakawawahi - cha ajabu media za magharibi hilo hawalisemi badala yake yako busy ku-demonise Putin - Pitin this,Putin that ulaghai na uongo mtupu Putin wa watu hana tatizo na mtu badala yake tunaweza kusema kwamba hivi sasa Putin ana heshimika sana popote ni kama vile Rais wa Dunia save mabeberu ambao hawamtaki kabisa kutokana na msimamo wake wa kuiokoa Dunia kutoka kwenye makucha ya mabeberu wa kinyonyani wapenda vita na vurugu ili kinufahisha viwanda yao vya silaha na mabenki ie akina Rothchild,JP Morgan na mabenki mengine - genge hili ni hatari sana ni watu wachache wanao juwa ubaya wa Anglo-Saxon hapa Duniani.
Nimalizie kwa kukumbusha kwamba the World have had enough la genge hili la wapenda vita na vurugu Duniani ndio maana kiboko yao Mighty Putin anawasubiri pembezoni ili wafanye makosa ya kijinga halafu Putin na washirika wake wawape fundisho la mwaka la kuwa destroy in totality by making sure they will never rise again kuisubua tena Dunia - sijasema kwamba Urusi na washirika wake hawata pata madhara lakini wao at least walisha jiweka tayari kwa miaka mingi kujikinga na na tatizo hilo unlike arrogant Anglo-Saxon mafiosa wanao preach hata mambo ya ushoga kwanza somo hilo lifindishwe kwenye shule za sekondari kwa lazima - hawa kama sio akili fyatu tuwaiteje??
Aliaminisha dunia na kwa bahati mbaya sana dunia ikaamini kwamba Urusi ni superpower lakini kwa bahati mbaya sana vita ya Ukraine aliyoianzisha mwenyewe amejianika hadharan madhaifu yake na ndio mana maana sasa Magharibi wanatumia nafasi hii kummaliza Putin lakini kuiangusha Urusi kiuchumi na kila kitu.
Kumbuka Putini alikuwa anapasha moto silaha zake za nuclear kila mara kutia ndaro sijuwi atapiga ulaya mara wapi mara wapi lakini sasa ameamua yaishe, jeshi hana anakodi makundi halafu analidhalilisha jeshi lake kuwa chini amri za hayo makundi vita ndio kwanza mwaka., Urusi mashoga tele kama ilivyo huko kwenu Tz lakini hamsubutu kutangaza sasa it is good for nothing