lengo la Putini lilikuwa hilo lakini alipojaribu kuingia kwa mavamba Kyiv mbona aliamua kugeuza na kurudi zake donbas, ndipo wanajeshi ya Russia walipouliwa kama kuku, urusi amefukuzwa kila mahali Ukrean sasa amebaki pembezoni huko nako anaachia.
Ukisikia Putini amepiga bomu ukrain jua limetokea black sea au russia moja kwa moja, vita ya ardhini mrusi imemcost na hatajaribu tena maisha yake yote., sasa watu wanamaliza kumtoa adui maeneo yaliyobaki huko donbas, tutazamie Zelensky kutawazwa rasmi kuwa rais wa Russia pia baada ya putin kuliwa kichwa ama kupelekwa mafichoni kule US au the Heague