Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USA kila wakifurukuta kufanya majaribio ya kutengeneza makombora haya wanafeli...Yaani wamefeli mara tatu hadi wanakata tamaa..Hili eneo USA na wanae wa NATO wapo nyuma sana. Mrusi anaweza akapigana akiwa nyumbani kwake bila kupeleka ndege ,wanajeshi,au hata manowari kwenye nchi nyingine. Yule boya alipoteza pesa mingi kuweka makambi na manowari kila kona, hizo mbinu atawaweza mataifa utopolo ila akifika kwa wakina Putin hivyo vyote havina kazi
Russia imewahi kupoteza Vita nyingi tu .. Soma history[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787], Toka kipindi cha Napoleon wazungu walitamani kuingia Russia wakachemsha. Ndio Taifa ambalo halijawahi kushindwa vita ulaya na ndio Taifa lilipoteza watu wengi katika WWII, halafu wanatokea wazungu pori kutokea amerika ya kaskazini kuwajambisha. Hawa jamaa sio wa mchezo kabisa wazungu wekundu wajipange maana mrusi hana cha kupoteza.
Uzuri wa Putin,hakushtukizi,anakupa onyo kwanza,ukijifanya mjuaji anakiwasha mazima!!PUTIN kuanza kutumia silaha nzito.....naanza kuhisi hii vita vita huenda ikavuka na.kuwa ni WW III...
Kwa vikwazo na mashinikizo .....wasiichojua ni kwa kwamba sasa PUTIN ni kama paka aliyebanwa chumbani
kama IRAN ile ndio inateswa na vikwazo kwavile ilivyoWewe hujui kitu, vikwazo vinaitesa san Korea na Iran, mpaka leo wanaomba viondolewe.
Russia wamekubali kupoteza uchumi wao ili kulinda himaya yao kwa mtutu wa bunduki. Ni ufahari wa kimaskini.